Kama hamjui mnachotaka si lazima tuwachagulie? Mana watanzania hawajui wanataka nini. Tumempata mana, hay Wala haresi na ameruhusu maandamano na mikutano ya hadhara Sasa Bado hamjui mnaka nini. Ngoja tuwachagulishe kwa nguvuHapana,tunataka Mtu yeyote anaetaka kutuongoza afanye hivyo kwa RIDHAA zetu sio kwa HILA na WIZI na KUTANGAZWA na WAKURUGENZI wa HALMASHAURI ambao wenyewe ni MAKADA wa CCM.
Anaetaka kutuongoza awe CCM au CHADEMA apate kwanza RIDHAA ZETU WANANCHI.