Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Inatudhalirisha nchi nzima aisee

Ngoja na wao waje! Tutawapa Zitto kuwapokea we waache tu!
Wameshatu wini Viongozi wao hawaji kwetu Yani hatuwezi kulipiza labda tusubili Simba na Yanga wakisajiri mchezaji kutoka Ghana na Sisi tuwatume waokota makopo waka wapokee uwanja wa JK Nyerere, lakini tukitegemea Raisi wao kuna siku atakuja Bongo tutasubili miaka Million
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Si alipokelewa na watanzania, ubaya uko wapi?
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Tutofautishe kati ya work visit na State visit!!

State visit (safari ya kitaifa) lazima ukaribishwe na mkuu wa nchi!! Unapewa heshima zaidi na mapokezi yake yanafanywa na mkuu wa nchi, inaweza kuambatana na kupigiwa mizinga 21 na mwisho wa siku hupewa zawadi kama ukumbusho wa ziara hiyo ya kitaifa/state visit.

Work visi t(safari ya kikazi) huwa mtu hajakaribishwa na nchi husika! lakini yeye anadhani kuna mambo anaweza kuyafanya huko kama majadiliano au kutembelea sehemu mbali mbali kwa ajili ya kujifunza nk!! Hii ni kwamba mtu amejikaribisha mwenyewe kwa manufaa yake au ya nchi yake! Hapa asitegemee kupokewa na mkuu wa nchi!! wale wanaohusika na kile kinachompeleka wanaweza kumpokea. Lakini sana sana hupokelewa na balozi wa nchi yake na raia wa nchi yake walio huko!!

State visit ndiyo hupewa heshima kubwa lakini work visit ni kama mwananchi tu!! Ndiyo maana si vizuri sana mkuu wa nchi kutoka mara nyingi kwenda nchi za nje kwa ajili ya ziara za kikazi/work visit!! Hizo ziara mara nyingi huachiwa watendaji katika maeneo husika, sana sana waziri husika!!

Ni chungu kumeza lakini ndio ukweli wenyewe!! Sasa tujiulize kati ya safari zote alizotoka nje ngapi zilikuwa ni state visit/safari za kitaifa na ngapi zilikuwa ni work visit/safari za kikazi. Ikitokea Rais asipokelewe na mkuu wa nchi mwenzake au mtu mwingine ambaye ametumwa kumwakilisha mkuu wa nchi kwenye mapokezi hayo, nchi husika iliyotendewa hivyo inaweza kuwasilisha malalamiko rasmi/protest!! Hata katika mazingira ambayo mkuu wa nchi alituma mwakilishi wake (waziri mkuu au waziri wa mambo ya nje), huyo mwakilishi atakapompokea atajitambulisha rasmi kwa mgeni kuwa ametumwa na Rais kumpokea kwa niaba yake kwa kuwa kutokana na sababu zisizozuilika hakuweza kufika mwenyewe!!
 
Unajua
Unajua JF imeingiliwa na wasiokuwa na uwezo wa kufanya study kabla ya kukimbilia kwenye keyboards. JF inapoteza its status of being a forum for great thinkers
It's the second law of thermodynamics.
 
Unajua
Unajua JF imeingiliwa na wasiokuwa na uwezo wa kufanya study kabla ya kukimbilia kwenye keyboards. JF inapoteza its status of being a forum for great thinkers
Mtufukuze sasa
FB_IMG_1652301341294.jpg
 
Uraisi wake ni wa "kudra" so wachabtu ahenyeke kidiplomasia
Sielewi nini kimekwenda tofauti katika diplomatic...
Zamani mapokezi ya wakuu wa nchi yalikiwa kama tulivyo mfanyia Obama.
Hata kwa mkuu wa nchi ndogo akifika basi alipewa mapokezi ya heshima ya juu mno... sijui what went wrong
 
Labda hiyo safari siyo rasimi kwa serikali ya Ghana. Kama ilivyokua Royal Tour, ile safari haikua rasimi kwa Rais wa Marekani ndiyo maana hakupokelewa na Biden. Hiyo ya Ghana kwa picha hiyo, kama ndiyo yenyewe, mapokezi hayo si ya level ya Rais wa nchi.

Cc kagoshima usitukane watu kwenye ukweli.
Ukiondoa Nyerere ni Rais yupi wa Tz alienda marekani akapokelewa na rais mwenzake.
 
Mataifa mengi jinsi kiongozi wa nchi nyingine anavyopokelewa Inatokana na umuhimu kati ya mataifa hayo husika kiuchumi, kiusalama, mfumo wa uongozi n.k
 
Tangu lini Rais wa nchi akapokelewa na viongozi mbalimbali?
Nadhani hadhi ya Rais alipaswa kupokelewa na watu rasmi wanaojulikana kwa majina na vyeo vyao.
Asingeweza kypokelewa na hao mbaosema maana hajaalikwa kajipangiana gharama zote zinazo husu hiyo safari wanajilipia na Kazi ya kutafuta pa kulala wameidanya wenyewe
 
Itoshe kusema ANAZURULA, achaneni ni visomi vingi!

Biden anaweza kuja hapa ki-work visit mkamkaushia au kumtuma Jokate na Mulamula kwenda kumpokea?
 
Back
Top Bottom