Kwanini OIC waitake Tanzania kama Taifa lakini waikatae Bakwata

kaka naona upo nyuma sana katika hili la 'memorandum of understanding' naomba nenda kamuulize Padri wako atakwambia, ni mashirika mengi ya Kikristo kama mashule na Hospital yanakuwa funded na serikali ya Walipakodi wote wakiwamo Waislamu.
kuhusu OIC kaka, si sera ya OIC kusaidia waislamu pekee, haina ubaguzi, Kuna nchi zaidi ya 20 Africa zimejiunga na OIC na wananchi wake wote wanafaidika, kuna nchi hata za ulaya kama Uingereza amabapo waislamu ni minority sana lakini mbona kuna OIC?

nguzo, ktk hayo mashirika/taasis za kidini zinazopata ruzuku kutoka serikalini kuna taasis/shirika linalohudumia wakristo peke yake?. Je hospitali ya kcmc na au bugando zinahudumia wakristo pekee?
 
File:OIC Members.svg

From Wikipedia, the free encyclopedia



OIC_Members.svg‎ (SVG file, nominally 940 × 415 pixels, file size: 1.55 MB)
This image rendered as PNG in other sizes: 200px, 500px, 1000px, 2000px.

This is a file from the Wikimedia Commons. Information from its description page there is shown below.
Commons is a freely licensed media file repository. You can help.



Description English: Current members of Organisation of the Islamic Conference (OIC) Current Members of OIC
Observers
Withdrawn members
Observer organisations
Rejected

Bahasa Indonesia: Anggota-anggota Organisasi Konferensi Islam (OKI) Anggota-anggota OKI sekarang
Pengamat
Memiliki ketertarikan untuk bergabung
Pengamat (organisasi)
Keikutsertaan Ditolak


Mkuu Nguzo! katika hii mada ni lazima kuwa careful sana na kama kuna nchi nyingine yoyoye imejiunga na OIC ni mfumo wao na katiba zao na huwezi linganisha kila nchi na utaratibu wao, siipingi nOIC lakini hiki kigezo cha kusema hata UK imo huko ni uongo, we nani kakuambia UK imo OIC mkuu, check the current membersof OIC in the map above na tuache ushabiki na ubishi tu. Green ni members

mkuu thanx umenisaidia sana juu ya uelewa wa jambo hili
 
File:OIC Members.svg

From Wikipedia, the free encyclopedia



OIC_Members.svg‎ (SVG file, nominally 940 × 415 pixels, file size: 1.55 MB)
This image rendered as PNG in other sizes: 200px, 500px, 1000px, 2000px.

This is a file from the Wikimedia Commons. Information from its description page there is shown below.
Commons is a freely licensed media file repository. You can help.



Description English: Current members of Organisation of the Islamic Conference (OIC) Current Members of OIC
Observers
Withdrawn members
Observer organisations
Rejected

Bahasa Indonesia: Anggota-anggota Organisasi Konferensi Islam (OKI) Anggota-anggota OKI sekarang
Pengamat
Memiliki ketertarikan untuk bergabung
Pengamat (organisasi)
Keikutsertaan Ditolak


Mkuu Nguzo! katika hii mada ni lazima kuwa careful sana na kama kuna nchi nyingine yoyoye imejiunga na OIC ni mfumo wao na katiba zao na huwezi linganisha kila nchi na utaratibu wao, siipingi nOIC lakini hiki kigezo cha kusema hata UK imo huko ni uongo, we nani kakuambia UK imo OIC mkuu, check the current membersof OIC in the map above na tuache ushabiki na ubishi tu. Green ni members


Hata UK wakijiunga huko kuna kitu watakuwa wanakitafuta. Nakumbuka hata US waliomba kuwa observers! Ila wote si tunawajua wa-US..Hawafanyi mzaa!Watapeleleza weee halafu watawa-wikileaks!
 
mkuu thanx umenisaidia sana juu ya uelewa wa jambo hili
NASHUKURU SANA NDUGU ZANGU KWA KULETA DATA ZAIDI, LAKINI KWA KUTUMIA RAMANI HIO KUNA NCHI ULAYA NA HATA AMERIKA YA KUSINI NI WANACHAMA WA OIC, NA MIND U ZILE NI NCHI NDO ZIMEJIUNGA NA MAHAKAMA YA KADHI SIO SHIRIKA LA DINI KAMA BAKWATA, SABABU LENGO LA OIC SI KUSAIDIA BAKWATA PEKEE BALI WANANCHI WOOTE, WAWE WAKATORIKI, PROSTESTANT NA HATA WAHINDU.
KUWENI WEPESI JAMANI! NGOJA NIQUOTE MANENO YA MEMBE 'UJASIRI WETU TUMEUPELEKA WAPI WATANZANIA, TUNAOGOPA OIC HAINA MATATIZO TUMEKWISHA IFANYIA UPEMBUZI' source Mwananchi 17.3.2010
 
Mwenzenu nimejaribu kuipitia Charter ya OIC hata sidhani kama inafaa kwa Tanzania, Bora Bakwata ijiunge peke yake.
Kama tungekuwa nchi ya Kiislamu, ingekuwa umoja mzuri sana, lakini sisi si nchi ya Kiislamu, wala hatutaki kuja kuwa nchi ya Kiislamu hapo baadae. Najua hata waislamu wengi hawapendi nchi iwe ya kiislamu baadae.
Kama Maandishi yote yaliyomo kwenye charter ya huo umoja yakitekelezwa, mwishowe ni nchi kuwa ya kiislamu.
Lakini kama yasipotekelezwa ina maana umoja huo hauna nguvu.
tukurudi nyuma, naona umoja huo hauna nguvu, maanake hata siusikii ukifanya mambo makubwa ya kusaidia jamii kama wanaoitaka wanavyotamani Tanzania tufanyiwe.
Hiv kujiunga ni bei gani, masharti yake tunayajua? je tunajua kiukweli tunapata nini kwa cost gani? achana na kujilinganaisha na dhehebu moja la kikristu
 
ingekua safi sana kama kuna mtu ana constitution ya OIC angeiweka hapa jamvini hata kwa kuitafuta kwenye link ingetusaidia kuijua na kujifunza kiundani zaidi suala hili!
Mwenzenu nimejaribu kuipitia Charter ya OIC hata sidhani kama inafaa kwa Tanzania, Bora Bakwata ijiunge peke yake.
Kama tungekuwa nchi ya Kiislamu, ingekuwa umoja mzuri sana, lakini sisi si nchi ya Kiislamu, wala hatutaki kuja kuwa nchi ya Kiislamu hapo baadae. Najua hata waislamu wengi hawapendi nchi iwe ya kiislamu baadae.
Kama Maandishi yote yaliyomo kwenye charter ya huo umoja yakitekelezwa, mwishowe ni nchi kuwa ya kiislamu.
Lakini kama yasipotekelezwa ina maana umoja huo hauna nguvu.
tukurudi nyuma, naona umoja huo hauna nguvu, maanake hata siusikii ukifanya mambo makubwa ya kusaidia jamii kama wanaoitaka wanavyotamani Tanzania tufanyiwe.
Hiv kujiunga ni bei gani, masharti yake tunayajua? je tunajua kiukweli tunapata nini kwa cost gani? achana na kujilinganaisha na dhehebu moja la kikristu
 
NASHUKURU SANA NDUGU ZANGU KWA KULETA DATA ZAIDI, LAKINI KWA KUTUMIA RAMANI HIO KUNA NCHI ULAYA NA HATA AMERIKA YA KUSINI NI WANACHAMA WA OIC, NA MIND U ZILE NI NCHI NDO ZIMEJIUNGA NA MAHAKAMA YA KADHI SIO SHIRIKA LA DINI KAMA BAKWATA, SABABU LENGO LA OIC SI KUSAIDIA BAKWATA PEKEE BALI WANANCHI WOOTE, WAWE WAKATORIKI, PROSTESTANT NA HATA WAHINDU.
KUWENI WEPESI JAMANI! NGOJA NIQUOTE MANENO YA MEMBE 'UJASIRI WETU TUMEUPELEKA WAPI WATANZANIA, TUNAOGOPA OIC HAINA MATATIZO TUMEKWISHA IFANYIA UPEMBUZI' source Mwananchi 17.3.2010

Soma katiba na Malengo ya OIC Ndipo ujue uzuri na ubaya wa OIC!
Kwani ikiisaidia Bakwata na Bakwata ikasaidia watz wote kuna tatizo gani?
 
Mwenzenu nimejaribu kuipitia Charter ya OIC hata sidhani kama inafaa kwa Tanzania, Bora Bakwata ijiunge peke yake.
Kama tungekuwa nchi ya Kiislamu, ingekuwa umoja mzuri sana, lakini sisi si nchi ya Kiislamu, wala hatutaki kuja kuwa nchi ya Kiislamu hapo baadae. Najua hata waislamu wengi hawapendi nchi iwe ya kiislamu baadae.
Kama Maandishi yote yaliyomo kwenye charter ya huo umoja yakitekelezwa, mwishowe ni nchi kuwa ya kiislamu.
Lakini kama yasipotekelezwa ina maana umoja huo hauna nguvu.
tukurudi nyuma, naona umoja huo hauna nguvu, maanake hata siusikii ukifanya mambo makubwa ya kusaidia jamii kama wanaoitaka wanavyotamani Tanzania tufanyiwe.
Hiv kujiunga ni bei gani, masharti yake tunayajua? je tunajua kiukweli tunapata nini kwa cost gani? achana na kujilinganaisha na dhehebu moja la kikristu

Hiyo OIC ni sawa na DECI Mwanangu!
zenj labda watanufaika na Misikiti hata hivyo miskiti iliyopo safu hazijai!
 
The most backwards societies and nations in history are nations that cling solely to religion for their views of the universe around them.

During the dark ages, mankind lost ONE THOUSAND YEARS of knowledge and learning opportunities because of these people. People in 1200 CE lived about the same as people lived in 200 CE. Why? Because the "holy men" wanted to keep everyone stupid and subservient, and the best way to do that is to turn your back on any kind of scientific advancement or discovery. These people still exist today. Thankfully their numbers are dwindling, but they are still spouting the same crap they did 1000 years ago.

Muslims should stop turning Tanzania into Islamic State. An infant nation like ours should stick on enabling Tanzanians to evolve mentally so as to fuel innovation and economic advancements. Let the religious matters be separated from political matters as our Katiba entails.
 
mimi napata ukakasi kidogo kwani Tanzania ni nchi ya kiislamu au ni nchi yenye waislamu?, kwa ninavyojua nchi yangu ni secular state(nchi isiyo na dini) so hakuna umuhimu wa kujiunga na OIC kama nchi
 
The most backwards societies and nations in history are nations that cling solely to religion for their views of the universe around them.

During the dark ages, mankind lost ONE THOUSAND YEARS of knowledge and learning opportunities because of these people. People in 1200 CE lived about the same as people lived in 200 CE. Why? Because the "holy men" wanted to keep everyone stupid and subservient, and the best way to do that is to turn your back on any kind of scientific advancement or discovery. These people still exist today. Thankfully their numbers are dwindling, but they are still spouting the same ---- they did 1000 years ago.

Muslims should stop turning Tanzania into Islamic State. An infant nation like ours should stick on enabling Tanzanians to evolve mentally so as to fuel innovation and economic advancements. Let the religious matters be separated from political matters as our Katiba entails.

thats it.
 
mie kwa mtazamo wangu naona serikali iruhusu wao kama wao waingie kwenye Mahakama ya Kadhi au kujiunga na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) wao kama wao na sio nchi na wananchi wake au walipa kodi wake ili maamuzi yatakayotolewa huko yasiwe kero kwa wakristo kuliko nchi ikipelekwa huko baadae kutazuka migogoro isiyo na mwisho cha muhimu tusikwazane pawepo na amani tu.

Wao si ndio Bakwata
 
Ndo eti membe awe rais wa Tanzania,ataligawa taifa hili vipande vipande,hafai kabisa,eti OIC itawasaidia watanzania wote,tangu lini waislamu wakawa na moyo wa upendo kwa watu wa dini zingine? Makafir? Hiyo OIC ni mbinu za kitoto za mataifa ya kiislamu kama Iran na mengine ili kujaribu kuyageuza mataifa changa kama Tanzania yawe ya kiislamu jambo ambalo haliwezekani kabisa,waislamu wana chuki ya asili na watu wote wasio waislamu,wanatamani wawaue wote ili dunia ibaki na waislamu tu ila uwezo ndo hawana,tazama ushenzi unaofanywa na ISIS,wakimkamata mkristo yoyote hata kama hana kosa lazima wamchinje,hawa ndo waislamu wanaoeneza dini yao kwa ncha ya upanga,wao wanaita jihad,Tanzania ina idadi ndogo sana ya waislamu,wanapatikana ktk mikoa mitano tu kwa wingi kati ya mikoa yote 27 Tanzania,na kwa fujo zao utadhani wamejaa Tanzania nzima,leo eti ije OIC? Eti isaidie wote? Wairan wameshamsaidia nani? Zaidi ya magaidi ya hamas,hezbola,al shabab na boko haram,ujio wa OIC utaleta ugaidi wa kutisha TZ.
 
NGUZO unafananisha mahakama ya ardhi na mahakama ya kadhi? Baba hapo umechemsha. Hujui kuwa ardhi ni ya serikali hata kama uliachiwa urithi na nyanya ako? Ndo maana kuna kodi ya ardhi. Basi kama mnaona vipi pelekeni kesi zenu za kadhi mahakama ya ardhi, watawasaidia tu bila shida.
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa ukiwa unaongea uwe na data, kwa taarifa yako kilichofanyika kenya kwenye hii katiba mpya ni kama ilivyokuwa tanzania... mahakama hizo ni ruhusa kuwepo lakini ilionekana si busara kuendeshwa na serikali kwa kuwa ilikuwa ni issue ya kidini hivyo iendeshwe na taasisi za kidini zenyewe, wakashindwa kui-fund ikatoweka kimya kimya na hata kenya wasipo i-fund wenyewe itatoweka... sasa kwa nini wasio waislam hawataki iingie kuwa funded na fedha za umma ni kama wewe na ndugu yako wote mmeoa then anakulazimisha mshirikiane kumtunza mke wake wakati wakati wote mna nguvu za kutafuta na mna kipato... fikirieni wakatoliki nao wana mahakama zao wanaziendesha wenyewe kwa maana hiyo na wao mahakama yao itambulike kisheria na ianze kupata mgao wa bajeti.... basi ndio hivyo mambo ya kidini yaendelee kuwa chinio ya taasisi za kidini na serikali isiingilie kabisa... jitahidini ongeeni muangalie jinsi ya kuendesha hiyo mahakama wenyewe kwa funds zenu kama wenzenu wanavoendesha za kwao bila hata watu wengine kujua kuwa zipo..... kuhusu IOC soma katiba yao vizuri ili ujue kwa nini zenji ilikuwa rahisi kuingia na si tz yote....:suspicious:
hiyo katiba ya ioc aiathiri uganda na msumbiji?
 
Mkuu,

Haya ya mahakama ya kadhi na OIC kwa Tanzania tunayakuza na kuwa na woga usio na maana.
Mahakama ya Kadhi ipo Kenya tokea wamepata uhuru, pia Zanzibar, tena zipo chini ya serikali au tuseme serikali ndio imezianzisha na kuona zinafanya kazi zake.
OIC..Uganda na Msumbiji ni wanachama wa hii jumuia kama nchi na si jumuia za kiislamu zilizojiunga. jee wao wameathirika vipi?

Hapa ndio unapata kujiuliza masuali mengi tu kwa nini uzito uko kwa serikali ya Tanzania katika mambo hayo. Naelewa hofu ni kuwa viongozi wa taasisi za kikristo zinapinga haya mambo, na viongozi wa kiislamu na taasisi zao zinatia msukumo ili haya yafanyike.
Lakini jee hatuoni kuwa hali hii inajenga jamii ambayo badala ya kuuzima udini , ndio tunaupalilia ?

Sehemu moja kubwa ya jamii wanajiona kuwa wanapigwa vita na hivyo kujenga hisia kuwa serikali inaegemea upande wa sehemu nyengine kubwa ya jamii yetu.
kwa muelekeo ambao mambo haya mawili yanashughulikiwa na serikali na taasisi za kidini ni wazi kuwa kuna hisia kali za kidini zinajengeka katika jamii na ni busara kwa viongozi wa dini na wa serikali kukaa pamoja na kupitia kwa undani faida na hasara ya mambo haya mawili kwa jamii ya Tanzania.badala ya kauli za kigeu geu kila wakati ambazo zinazidi kuwachanganya wananchi.

Kwani hamjui hii nchi ni ya kikristo??
 
wacha wakatae nchi iwe inayumba kiuchumi na mara kwa mara kwa kushuka kwa shilingi ila wajui nchi hii si ya wakristo ipo siku tutajua
 
Back
Top Bottom