kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
1.Wakatoliki kuwa na Balozi wa Vatican ni kuwa kisehemu hicho cha Vatican kinahesabika kama nchi huru kama ilivyo Italia.
2.Waislamu wapi lilipo pande la dunia hii ambalo linaitwa OIC.
3.Mbona nchi nyingi za Kiislamu kama Iran, Saudi Arabia, Libya nk zina balozi zao hapa na zinaheshimika sana.
4.kwanini Wakristo wanaikataa OIC hata wale ambao si Wakatoliki na hawana balozi za madhehebu yao.
5.Kimsingi Bakwata kama Shirika la kidini lina uhuru wa kujiunga na OIC, lakini OIC wao huzitaka nchi na si mashirika ya kidini. Kwanini OIC waitake Tanzania kama Taifa lakini waikatae Bakwata?
wanajamvi embu tujadili kidogo juu ya hilo maana hata mimi huwa linanichanganya sana
2.Waislamu wapi lilipo pande la dunia hii ambalo linaitwa OIC.
3.Mbona nchi nyingi za Kiislamu kama Iran, Saudi Arabia, Libya nk zina balozi zao hapa na zinaheshimika sana.
4.kwanini Wakristo wanaikataa OIC hata wale ambao si Wakatoliki na hawana balozi za madhehebu yao.
5.Kimsingi Bakwata kama Shirika la kidini lina uhuru wa kujiunga na OIC, lakini OIC wao huzitaka nchi na si mashirika ya kidini. Kwanini OIC waitake Tanzania kama Taifa lakini waikatae Bakwata?
wanajamvi embu tujadili kidogo juu ya hilo maana hata mimi huwa linanichanganya sana