Wakuu heshima mbele.
Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba gari hizi mwisho wa kufanya shughuli za kibiashara ni mwezi wa sita, sababu kuu ni kupunguza ajali za barabarani, lakini je, serikali imekosa njia mbadala kuweza kuzuia jambo hili!?
Je serikali haioni kwamba kuzuia magari haya kutaongeza kwa kiasi kikubwa vijana vijiweni ambao sasa walikuwa wamepata ajira?
Je, serikali haioni kuwa itawasababishia usumbufu wakazi wa vijijini ambako mabasi makubwa hayafiki!?
My take:
jambo hili la ajali barabarani linazuilika kama trafiki wakifanya kazi kwa uadilifu wakaacha rushwa!! Serikali iache kutunyanyasa kwa kutupandishia gharama za maisha halafu wanatuzibia hata pa kujikwamulia!!
Mjadala mezani wakuu nilipokosea rekebisheni!!
Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba gari hizi mwisho wa kufanya shughuli za kibiashara ni mwezi wa sita, sababu kuu ni kupunguza ajali za barabarani, lakini je, serikali imekosa njia mbadala kuweza kuzuia jambo hili!?
Je serikali haioni kwamba kuzuia magari haya kutaongeza kwa kiasi kikubwa vijana vijiweni ambao sasa walikuwa wamepata ajira?
Je, serikali haioni kuwa itawasababishia usumbufu wakazi wa vijijini ambako mabasi makubwa hayafiki!?
My take:
jambo hili la ajali barabarani linazuilika kama trafiki wakifanya kazi kwa uadilifu wakaacha rushwa!! Serikali iache kutunyanyasa kwa kutupandishia gharama za maisha halafu wanatuzibia hata pa kujikwamulia!!
Mjadala mezani wakuu nilipokosea rekebisheni!!