wewe ach kukariri lile tamasha awajaandaa clouds media limeandaliwa na wasanii wenyewe ila limedhaminiwa na cloudz... Umeelewa bro.
na Clouds FM wanasema ni radio ya watu :smile-big:
Na uelewe kweli kweli....
Kijana unaishi mji gani wewe? Hebu andaa wewe na wenzako afu umualike hata mbunge wako uone kam atakuja . hyo n mbinu ya kuishi mjin huenda hata hao wasanii wenyew wanaendeshwa tu .
Hivi hii redio bado ipo .mbona haisikiki kwa sasa ni 93.7 tu.