Kwanini ni rahisi Clouds FM kumpata Mh Rais kuliko taasisi nyingine?

ndio yaleyale "mheshimiwa rais mi ndio dimpoz aka ommy dimpoz wa pkp aka pozi kwa pozi supastaa namba moja bongo kama ulikuwa hunijui". kweli wasanii wamekutana!
 
Nlipolisikia lile tangazo nlikuwa na mtu karib nkamuuliza hv tr ngap? Aliponijb nkasema kimoyomoyo kama ni ngoma imepata mpigaji!!! Maana nlidhan april1 kumbe kweli!!!

Haya jaman huyo ndo raHisi wa tanganyika na zanzibar!!!
 
Ametoka kuhudhuria mkutano wa "mama na mtoto" canada, anakuja kwenye "tamasha la bongo fleva" lililodhaminiwa redio ya wafu, akitoka hapo ataenda kwenye "ngoma ya kumtoa mwali" chalinze kama mgeni rasmi, "dhaifu" at his best.

I can't believe my eyes! Ngoma ya mwali tena?
 
Kweli Tanzania kuna mambo badala ya hawa viongozi wahamasishe vijana wasome kwa bidii wao wanahamasisha vijana waimbe bongo fleva,ndio maana siku hizi kila kijana anajiona msanii,ajabu sana eti rais anamtafutia kolabo msanii,halafu wanafunzi wakifeli wanatafuta mchawi!
 
jamani kunamambo ya kujadili nasio huyo jamaa na wafuasi wake, huyu kashindikana jamani, kichwa chake ndio serikali yake. mwacheni kamaalivyo.
 
Yaan ikifikia hapo CDM wanaugua vidonda vya tumbo, maana ni mziki mnene CD miasaba. JK twende nao sambamba maana wanajidanganya vijana wanawasupport wao wakati kila kijana mwenye akili ANAI AMINIA TANZANIA.
Hapa mbili zatosha tatu hatuzitaki katu.
 
Kwa mtu anayefahamu kwa undani juu ya clauds FM and Clouds TV nani mmiliki na anhusiano gani na seerikali, Kidogo nashindwa kuelewa mwenendo wa chombo hichi cha habari, hii ni kutokana na mambo yafuatao
  1. Ni chombo cha habari ambo watangazaji wake wamejisahau kabisa
  2. Ni chombo cha habari chanye mrengo wa CCM zaidi;naamainisha wanatetea utwala :Eg siku moja kwenye uchambuzi wa magazeti asubuhi moja wa mtangazaji alikuwa nilimsikia kwa kauli yangu akikejeli gazeti la Tanzania Daima na kusema ''kuna hari yoyote ya kitafiti au ni udaku'' am very sory toka siku hiyo sisikilizi hii redio tena kwasabau wako na bias
  3. Ni chombo cha habari ambacho kimewashahu kazi yake na kuendeleza zaidi udaku mtaani zaidi ya uelimishaji
  4. Ni chombo cha habari ambocho kimeshahau wajibu wake na kuwa mtetezi wa serikali au watawala ; kwa wale walio kuwa wapo chu mwaka wa 2008 kwenye mgomo wa kutaka kuongezewa accomodation allowance from 50,00Tshs to 10,000Tshs moja ya mtangazjai aksema wanataka pesa hii kwa ajili ya starehe..............ephraimu kibonde


mimi binafsi nimeacha kabisa kusikiliza redio hii kwasabu ya mambo yafuatayo
  1. wako na bias na vyama
  2. wanazarau sana wananchui: uko na mama yako kwenye daladala asubuhii unasikia ujinga kwenye redio mpaka unaona aibu

niko tayari kurekebishwa kwa mtazamo wangu lakini nataka kujua mmliki na kwa hisa ngapi anamiliki ............................................But sitasikiliza hii redio am very sory for that
 
Aisee kumbe nilidhani ni mimi tu,wanaboa sana!naona wanajimaliza in a long term.
 
Clouds Media wanasikiliza vichaa tu, mimi nimeshaitoa maanani kabisa na kama kuna option ya kuifuta kwenye receiver yangu ningefanya hivyo!!

yapo mambomengi sna ambayo kama viongozi wa reio hii lazima wayafanyie kazi kwa jinsi wanavyofanya ingekuwa redio kama redio one sijui kitu gani kingetokea thus why i need to know who is the owner of it
 
Kwa mtu anayefahamu kwa undani juu ya clauds FM and Clouds TV nani mmiliki na anhusiano gani na seerikali, Kidogo nashindwa kuelewa mwenendo wa chombo hichi cha habari, hii ni kutokana na mambo yafuatao
  1. Ni chombo cha habari ambo watangazaji wake wamejisahau kabisa
  2. Ni chombo cha habari chanye mrengo wa CCM zaidi;naamainisha wanatetea utwala :Eg siku moja kwenye uchambuzi wa magazeti asubuhi moja wa mtangazaji alikuwa nilimsikia kwa kauli yangu akikejeli gazeti la Tanzania Daima na kusema ''kuna hari yoyote ya kitafiti au ni udaku'' am very sory toka siku hiyo sisikilizi hii redio tena kwasabau wako na bias
  3. Ni chombo cha habari ambacho kimewashahu kazi yake na kuendeleza zaidi udaku mtaani zaidi ya uelimishaji
  4. Ni chombo cha habari ambocho kimeshahau wajibu wake na kuwa mtetezi wa serikali au watawala ; kwa wale walio kuwa wapo chu mwaka wa 2008 kwenye mgomo wa kutaka kuongezewa accomodation allowance from 50,00Tshs to 10,000Tshs moja ya mtangazjai aksema wanataka pesa hii kwa ajili ya starehe..............ephraimu kibonde


mimi binafsi nimeacha kabisa kusikiliza redio hii kwasabu ya mambo yafuatayo
  1. wako na bias na vyama
  2. wanazarau sana wananchui: uko na mama yako kwenye daladala asubuhii unasikia ujinga kwenye redio mpaka unaona aibu

niko tayari kurekebishwa kwa mtazamo wangu lakini nataka kujua mmliki na kwa hisa ngapi anamiliki ............................................But sitasikiliza hii redio am very sory for that



Clouds FM / TV wasamehewe bure --- wameamua kutumika na CCM na utawala uliopo madarakani ili kujiongezea fedha, miradi na nguvu ya Media hapa nchini. Imeshindwa competitiveness business, lazima ijigande na serikali au kujipendekeza ili ipate business za serikali kirahisi. Ikija serikali nyingine, Clouds FM / TV itakua guest house au Club ya musiki wa usiku.
 
Back
Top Bottom