Kwanini ni rahisi Clouds FM kumpata Mh Rais kuliko taasisi nyingine?

Lazima kwenye ujana wake alikuwa na sifa moja kati ya hizi tatu Dj,Mcheza shoo au shabiki wa muziki.
Nimeshangazwa, eti Kikwete ataudhuria Tamasha lililoandaliwa na Clouds Media Dodoma, tena ataambatana na mawaziri.

Najiuliza, hivi ni kwa nini Clouds wanapo mtaka Mh Rais huwa anapatikana kilahisi namna hii, lakini taasisi nyingine zinapomualika katika mambo ya msingi ya kitaifa kwa mfano, Katika mijadala ya Katiba mpya, katika midaharo ya hali ya kisiasa hapa nchini, kikwete huwa haonekani?? lakini mambo ya clouds tena mengine yanafanyika usiku kabisa kama lile tamasha la kitapeli lililowahi kufanyika pale leaders, mh rais alihudhuria mpaka late night.

hii imekaaje WADAU: au ndo ule msemo wa Lipumba unajidhiirisha kuwa kikwete ni hodari wa matamasha??
 
Ni kitu ambacho kinaumiza vichwa vya watu hasa wa media,mi nitarudi kwenye kile kutu wanacho kitumia wao,kuwa "creativity",wanajaribu kwa kila njia kumtumia huyo rais,sasa hawa wengine wameshindwa kumtumia?
Sifungamani kokote ila tuitumie hii nyanja ya kama tunataka kuwa nae karibu,
 
Bora wangehubiri watanzania tujinufaishe vipi kuhusu madini na maliasili zetu, wangetangaza kuwaambia Watanzania wamrudie Mungu wao
 
Kuna tangazo nimelisikia kwenye redio moja asubuhi hii kuwa Rais na baadhi ya viongozi wengine akiwemo kiongozi wa Bunge (speaker) eti watakwenda kuhudhuria uzinduzi wa video ya miaka 50.
Najiuliza katika kipindi ambacho hata fedha za bajeti zinazidi kutokutosha eti hivi ndio vipaumbele vyetu! Maana hapo ni kutuongeza gharama tu kwa faida ambayo haijulikani kwa Wananchi isipokuwa kwa wanaoandaa (wafanyabiashara).
Akhsanteni kwa maamuzi magumu.
 
Kuna tangazo nimelisikia kwenye redio moja asubuhi hii kuwa Rais na baadhi ya viongozi wengine akiwemo kiongozi wa Bunge (speaker) eti watakwenda kuhudhuria uzinduzi wa video ya miaka 50.
Najiuliza katika kipindi ambacho hata fedha za bajeti zinazidi kutokutosha eti hivi ndio vipaumbele vyetu! Maana hapo ni kutuongeza gharama tu kwa faida ambayo haijulikani kwa Wananchi isipokuwa kwa wanaoandaa (wafanyabiashara).
Akhsanteni kwa maamuzi magumu.


I totally agree with you,hii serikali i think wana luck something,ukiangalia kwa ujumla wamejaribu kubana bana sehemu nyingi mapato yaongezeke,cha ajabu utakuta wanaibua tena vimatumizi visivyokuwa na maana,so at the end of the day unakuta work done is equal to zero,sasa sijui wanatakaje!!!!!!!!!!!!!!!!!
kweli kazi bado ni nzito hapa
 
Kuna tangazo nimelisikia kwenye redio moja asubuhi hii kuwa Rais na baadhi ya viongozi wengine akiwemo kiongozi wa Bunge (speaker) eti watakwenda kuhudhuria uzinduzi wa video ya miaka 50.
Najiuliza katika kipindi ambacho hata fedha za bajeti zinazidi kutokutosha eti hivi ndio vipaumbele vyetu! Maana hapo ni kutuongeza gharama tu kwa faida ambayo haijulikani kwa Wananchi isipokuwa kwa wanaoandaa (wafanyabiashara).
Akhsanteni kwa maamuzi magumu.

Jee hiyo video mwananchi wa kijijini ataionea wapi?naomba hiyo video ionyeshe viwanda vya nguo vilivyokufa,mashamba makubwa ya kahawa katani chai,ranchi yaliyokufa,shirika la ndege reli na bandari zilivyokufa
 
Sema hapo nasikia mawingu fm ndio watasimamia show yote so gharama kdg zitakuwa sio kubwa.
 
I totally agree with you,hii serikali i think wana luck something,ukiangalia kwa ujumla wamejaribu kubana bana sehemu nyingi mapato yaongezeke,cha ajabu utakuta wanaibua tena vimatumizi visivyokuwa na maana,so at the end of the day unakuta work done is equal to zero,sasa sijui wanatakaje!!!!!!!!!!!!!!!!!
kweli kazi bado ni nzito hapa

Let me make it clear, wana-lack seriousness kwenye kila kitu. Wanafanya maigizo kila sehemu na wanafanya wote ni wajinga hata kama siyo kweli.

Kama siyo kujifanya tu basi wanakuwa na mawazo ya kudhani kama umekaa sebuleni kwenu halafu kuna mkeo na watoto wawili, basi dunia yote iko sebuleni na mke na watoto wawili! Ni akili ya ajabu kidogo!
 
Ujio wa Obama clouds walilipwa 160m eti za huduma ya microphone na speaker
 
Jee hiyo video mwananchi wa kijijini ataionea wapi?naomba hiyo video ionyeshe viwanda vya nguo vilivyokufa,mashamba makubwa ya kahawa katani chai,ranchi yaliyokufa,shirika la ndege reli na bandari zilivyokufa
Mkuu ukizindua video ya hivyo hata ukimwalika rais hatakuja,na hata clouds tv hawataionyesha,maana wana element za u CCM,wanataka usifie mambo wanayoyapenda wao na CCM yao.
 
Back
Top Bottom