Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Vita, chanzo ni wamagharibi+
Screenshot_20240327-134512~2.png
 
Na ndio nchi zinazoongoza kutokua na magonjwa ya ajabu ajabu, tofauti na nchi za kikafiri.

Vita, chanzo ni wamagharibi+Taifa haramu bila ya wamagharibi na Taifa haramu dunia ingelikua sehemu salama.
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216
 
Mfalme wa Amani pia anahubiri mafarakano na ugomvi:

"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; sikuja kuleta amani, bali upanga." - Mathayo 10:34.


Baada ya kuwaambia mashabiki wake wawapende adui zao,, Yesu pia anawaambia wazigeuze familia kuwa maadui!

"Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwewe. Na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake." - Mathayo 10:35,36.

"Mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na watoto wake, na ndugu zake waume na wake, naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mfuasi wangu." - Luka 14:26.

Anaenda mbali zaidi kwa kusema

“Na ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, na baba atamsaliti mtoto; - Mathayo 10:21.

Akiwa amewatenganisha wafuasi wake na familia zao na upuuzi huu wa uuaji, Yesu anashauri vikundi vyake vinavyomwabudu juu ya jinsi ya kushughulika na viungo vyao vya mwili vinavyowapeleka katika dhambi - kukatwa viungo! Wanapaswa kujikatakata kwa kukata mikono na kung'oa macho.

Anasema ni afadhali "kulemazwa" kuliko kuteseka na "moto wa milele" wa kuzimu.

“Na mkono wako ukikukosesha, ukate; ukate; ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa umesimama, kuliko kuwa na miguu miwili na kutupwa katika jehanum ... Na jicho lako likikukosesha, ling'oe; ni afadhali kwako kuingia katika ufalme wa Mungu. kwa jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa katika jehanum ya moto." - Marko 9:43,47.


Kulingana na Yesu, kumwangalia tu mwanamke "kwa tamaa" ilikuwa dhambi.

Karne ya 3 Origen alikuwa Mkristo mshupavu ambaye alichukua maneno ya Yesu kuwa kihalisi na kujihasi.
Again, hizi dini za watu (dini za kuletewa) ni laana kwetu Waafrika.......na ndiyo maana waumini wengi wa hizi dini haswa Waislam bado wanaishi gizani kwa kujiaminisha upuuzi.
 
Hapa tunaanza kukubaliana vizuri na ni kwamba Utumwa ilikuwa ni Biashara kama Biashara nyingine lakini Waswahili walikuwa hawana access ya Masoko ya Mashariki ya Kati kwahiyo Mwarabu alikuwa akisomba na kuwapeleka kwenye Masoko ya huko.

Na huko Mashariki ya kati Mababu zetu walikuwa wakikutana na Watumwa wengine kutoka Ulaya na Bara Hindi na Watumwa Local.

Tufunge Mjadala kwa kuafikiana kuwa Watumwa wa Afrika ya Mashariki walipelekwa Uarabuni na Waarabu na Waliokuja kupiga Marufuku Biashara hiyo ya Kikatili katika Pwani hii ya Afrika ya Mashariki ni British Empire.

Watumwa walipelekwa arabuni kufanya nini na wakihitajika kufanya kazi kwenye mashamba? Wanunuzi ndio hawa walipokuja kuifanyia na walianza wareno?Au hutaki kukubali kuwa kanisa ndiyo ilikuwa mbele kuifanyia hiyo biashara?
 
Again, hizi dini za watu (dini za kuletewa) ni laana kwetu Waafrika.......na ndiyo maana waumini wengi wa hizi dini haswa Waislam bado wanaishi gizani kwa kujiaminisha upuuzi.
Nyinyi wakristo si mnaishi kwenye mwanga kwa wanaume kuolewa na wachungaji au vipi ?
 
Well said ila tatizo linakuja kwa ndugu zetu Waislam, mpaka leo bado wanaishi in denial......ukiwaambia ukweli ambao upo hata kwenye historia ya nchi yetu wao wanakataa na kubisha, yaani hawataki kusikia ukweli wowote kuhusu unyama waliofanyiwa mababu zetu na waarab. Ni ujinga uliopitiliza kwa kweli.
Yaani huoni kanisa lilivyofanya wala biblia inavyosema kuhusu watumwa, kweli ndio mkaolewa na wachungaji wa kizungu
 
Watumwa walipelekwa arabuni kufanya nini na wakihitajika kufanya kazi kwenye mashamba? Wanunuzi ndio hawa walipokuja kuifanyia na walianza wareno?Au hutaki kukubali kuwa kanisa ndiyo ilikuwa mbele kuifanyia hiyo biashara?
Nimeonywa na Wadau nikafikiri labda wana befu na wewe Well... huu sasa Wazimu alamsiki 👐😂
 
Nimeonywa na Wadau nikafikiri labda wana befu na wewe Well... huu sasa Wazimu alamsiki 👐😂
Kimbia kistyle , :p :p :p wadau


Let us look at Leviticus25:44-46 "Your male and female slaves are to come fromthe nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of thetemporary residents living among you and members of their clans born in your country, andthey will become your property. You can will them to your children as inherited property and can make them slaves for life, but you must not rule over yourfellow Israelites ruthlessly."


What kind of a human value does the Bible give to slaves? If slaves and their children must be inherited and passed down to newer generations asslaves, then how in the world will they ever gain their freedom? Does the Biblebelieve in Freedom? Does the Bible believe in liberating human beings from slavery? Apparently it does not!.


"All who are under the yoke of slavery shouldconsider their masters worthy of full respect, so that God's name and our teachingmay not be slandered. (From the NIV Bible, 1Timothy 6:1)"


"Let all who are under the yoke of slaveryregard their masters as worthy of all honor, so that the name of God and theteaching may not be defamed. (From the RSVBible, 1 Timothy 6:1)"


In either translation, we clearly see that the Bible is not a book forfreeing slaves. Slavery was practiced very badly during the times of Judaism andChristianity, and was fought against and ended during the times of Islam. It is partof the Bible's "teaching" to practice and promoteslavery! And fighting it would "slander" or "defame" the teachings of the Bible (Luke 2:52: GOD forgave Jesus' sins and was "charitable" with him).
 
Kimbia kistyle , :p :p :p wadau


Let us look at Leviticus25:44-46 "Your male and female slaves are to come fromthe nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of thetemporary residents living among you and members of their clans born in your country, andthey will become your property. You can will them to your children as inherited property and can make them slaves for life, but you must not rule over yourfellow Israelites ruthlessly."


What kind of a human value does the Bible give to slaves? If slaves and their children must be inherited and passed down to newer generations asslaves, then how in the world will they ever gain their freedom? Does the Biblebelieve in Freedom? Does the Bible believe in liberating human beings from slavery? Apparently it does not!.


"All who are under the yoke of slavery shouldconsider their masters worthy of full respect, so that God's name and our teachingmay not be slandered. (From the NIV Bible, 1Timothy 6:1)"


"Let all who are under the yoke of slaveryregard their masters as worthy of all honor, so that the name of God and theteaching may not be defamed. (From the RSVBible, 1 Timothy 6:1)"


In either translation, we clearly see that the Bible is not a book forfreeing slaves. Slavery was practiced very badly during the times of Judaism andChristianity, and was fought against and ended during the times of Islam. It is partof the Bible's "teaching" to practice and promoteslavery! And fighting it would "slander" or "defame" the teachings of the Bible (Luke 2:52: GOD forgave Jesus' sins and was "charitable" with him).
Wewe huenda ni Chizi.
 
Back
Top Bottom