Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Umekuwa msemaji wa Misri na wa Yemen ??
Upo mbali na taarifa za habari.
Waziri Mkuu wa Yemen katangaza kuwa nchi yake haitaki wakimbizi wa Kiislamu pamoja na Nchi rafiki Misri.
Kisa walisha mwua Kiongozi wa Kisiasa wa Yemen na kutaka kupindua Serikali ya Yemen.
Sikiliza vyombo vya habari.
 
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.

Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.

Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.

Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.

Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.

Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.

Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.

Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.

Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.

Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.

Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.

Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.

Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
So what is your target point ? unazunguuka we sema 2 waislamu ni magaidi fwala ww ..
 
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.

Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.

Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.

Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.

Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.

Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.

Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.

Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.

Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.

Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.

Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.

Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.

Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
Uislam wenyewe ni ugaidi tosha. Toka enzi za Mohammed ambaye ndiye muasisi wa ugaidi hadi leo hii mambo ni yale yale tu. Mohammed alikuwa gaidi wa kwanza wa dini duniani kwani alikuwa anaua watu na kubaka wake zao.
 
Upo mbali na taarifa za habari.
Waziri Mkuu wa Yemen katangaza kuwa nchi yake haitaki wakimbizi wa Kiislamu pamoja na Nchi rafiki Misri.
Kisa walisha mwua Kiongozi wa Kisiasa wa Yemen na kutaka kupindua Serikali ya Yemen.
Sikiliza vyombo vya habari.
Redio Che mittoga
 
Uislam wenyewe ni ugaidi tosha. Toka enzi za Mohammed ambaye ndiye muasisi wa ugaidi hadi leo hii mambo ni yale yale tu. Mohammed alikuwa gaidi wa kwanza wa dini duniani kwani alikuwa anaua watu na kubaka wake zao.


Mfalme wa Amani pia anahubiri mafarakano na ugomvi:

"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; sikuja kuleta amani, bali upanga." - Mathayo 10:34.


Baada ya kuwaambia mashabiki wake wawapende adui zao,, Yesu pia anawaambia wazigeuze familia kuwa maadui!

"Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwewe. Na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake." - Mathayo 10:35,36.

"Mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na watoto wake, na ndugu zake waume na wake, naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mfuasi wangu." - Luka 14:26.

Anaenda mbali zaidi kwa kusema

“Na ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, na baba atamsaliti mtoto; - Mathayo 10:21.

Akiwa amewatenganisha wafuasi wake na familia zao na upuuzi huu wa uuaji, Yesu anashauri vikundi vyake vinavyomwabudu juu ya jinsi ya kushughulika na viungo vyao vya mwili vinavyowapeleka katika dhambi - kukatwa viungo! Wanapaswa kujikatakata kwa kukata mikono na kung'oa macho.

Anasema ni afadhali "kulemazwa" kuliko kuteseka na "moto wa milele" wa kuzimu.

“Na mkono wako ukikukosesha, ukate; ukate; ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa umesimama, kuliko kuwa na miguu miwili na kutupwa katika jehanum ... Na jicho lako likikukosesha, ling'oe; ni afadhali kwako kuingia katika ufalme wa Mungu. kwa jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa katika jehanum ya moto." - Marko 9:43,47.


Kulingana na Yesu, kumwangalia tu mwanamke "kwa tamaa" ilikuwa dhambi.

Karne ya 3 Origen alikuwa Mkristo mshupavu ambaye alichukua maneno ya Yesu kuwa kihalisi na kujihasi.
 
Waislam wanaamini ukipigana vita kwa ajili ya Allah basi unaenda mbinguni.

Ukristu unaamini kuwa Mungu anaweza pigana vita vyake mwenyewe
Kasome kitabu cha Clash of Civilizations cha Samuel Huntington utapata majibu
 
Kama una akili tafuta miji hatari zaidi dunia ,hakuna wa kiislamu.

Vita hivyo ni ujinga wenu kutaka kupeleka mila zenu kwa mgongo wa vibaraka ,watu hawawezi kukubali katu bora vita kila siku kuliko dominance ya wakristo wa magharibi ni hatari sana.

Pale libya ,iraq, syria palikuwa safi mpaka mlivyoingia ,mbona hao watu hawaji kweny nchi zenu kupeleka majeshi ?

Achani ujinga makundi yote ni yenu hao ISIS ni nyie sio rahisi kuumaliza uislamu, mnatumia pesa kibao kila mwaka ila wapi 😅😅😅 ukweli unajulikana
Mhhh mara watu hawataki tamaduni zenu mara makundi ni ya kwenu😁😁,sasa waislam mnasimama wapi??na makundi kukataa mila za kishenzi au peke yenu kupigania hakhi???

Kitu nimejifunza,waislam ni jamii rahisi sana kupakwa mavi maana ina watu wenye kushika moto kijinga jinga.
 
Hayo ni maneno yako , Aya iko wazi kabisa watu wanaomkana Mungu mmoja NA yesu kristo ndio MAKAFIRI


NYINYI WAKRISTO MNAMKANA YESU KWA KUSEMA KUWA YEYE NI MUNGU WAKATI KUNA MUNGU NA YESU ALIYETUMWA NA MUNGU , HUO NI UKAFIRI MKUBWA


Na Yesu kasema:

"Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28.

"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "

Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )


Haiwi mwenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja katika Utatu, kama wadaivyo Wakristo sasa, awe anamuamini Mwenyezi Mungu.!!

Na hakika iliyo thibiti ni kuwa hapana mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja pekee.

Na ikiwa hawa walio potoka hawatoacha itikadi zao potovu, wakarejea kwenye ut'iifu wa Mwenyezi Mungu,
hapana budi ila itawasibu adhabu kali.

(Biblia inasema kuwa ya kwanza katika Amri Kumi alizo pewa Musa ni:

"Usiwe na miungu mingine ila mimi." - Kutoka 20"

Wewe umeonyeshwa haya, ili upate kujua ya kuwa Bwana ndiye Mungu, hapana ila yeye." - Kumbukumbu la Torati 4.35.

Katika Injili ya Yohana 17.3

Yesu anamsemeza Mwenyezi Mungu: "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.")
Wewe kafiri unataka utufundishe bible sisi!!!!
Bible inamuita kafiri mtu asiyemtambua Yesu,quran inamuita kafir mtu asiyemtambua Mungu,
Ukituliza akili hapo utagundua umeachwa kafiri na chungu ya 12 ukila jioni.
 
Mhhh mara watu hawataki tamaduni zenu mara makundi ni ya kwenu😁😁,sasa waislam mnasimama wapi??na makundi kukataa mila za kishenzi au peke yenu kupigania hakhi???

Kitu nimejifunza,waislam ni jamii rahisi sana kupakwa mavi maana ina watu wenye kushika moto kijinga jinga.
Hivi umesoma kweli shule? Umeelewa nilichoandika?

Kaangalie ugomvi kati ya NATO na USSR , tatizo lilikuwa ni nn ?

Tabia ya jamii inapimwa kwa matukio na mwenendo wa tabia za ovyo kama ubakaji, wizi , utapeli etc ..Hao ni liberals wanapambania haki zao kule Afghanistan mpaka wameaondoka ndio maana nchi imepoa, hakuna haja nyie makafir kupeleka tamaduni zenu kule.


Mpaka leo mnagombana na Russia kisa eti mnataka democracy yenu kila mtu afuate ....Ugomvi utaendelea mpaka siku ya mwisho .

Ukisoma Qur an ilishataja haya "Hawatokuwa radhi mayahud na manaswar ,mpaka mfuate mila zao"



Ina maana mnalazimisha na hapo vita haitoisha milele, lazima vibaraka wenu watoke na mifumo yenu ya kitapeli😅😅😅
 
Somalia, Syria, Yemen, Pakistan, Afghanistan, Nigeria, Libya, Iraq,
Kote huko waislamu wanauana wenyewe kwa wenyewe.
 
Hivi umesoma kweli shule? Umeelewa nilichoandika?

Kaangalie ugomvi kati ya NATO na USSR , tatizo lilikuwa ni nn ?
Maslahi ya kiutawala na ushawishi ulimwenguni.
Tabia ya jamii inapimwa kwa matukio na mwenendo wa tabia za ovyo kama ubakaji, wizi , utapeli etc ..Hao ni liberals wanapambania haki zao kule Afghanistan mpaka wameaondoka ndio maana nchi imepoa, hakuna haja nyie makafir kupeleka tamaduni zenu kule.
Kama issue ni uhuru wa kitamaduni kwanini Allah anahusishwa,yaani wewe unapigania haki za ushoga halafu ukiua anayekunyanyapaa unapaza sauti"Allah akbar"!!!
Mpaka leo mnagombana na Russia kisa eti mnataka democracy yenu kila mtu afuate ....Ugomvi utaendelea mpaka siku ya mwisho .
Embu katafiti mambo,demokdasia hata US au western haipo,UK tu hapo kuna malkia na mfalme.
Ugomvi baina yao wala sio huo,huo ni mwamvuli tu.
Ukisoma Qur an ilishataja haya "Hawatokuwa radhi mayahud na manaswar ,mpaka mfuate mila zao"
Mfuate mara ngapi sasa!!!nitajie nchi moja inayoendesha kwa kanuni za Quran ama kiislam.
Ina maana mnalazimisha na hapo vita haitoisha milele, lazima vibaraka wenu watoke na mifumo yenu ya kitapeli😅😅😅
Ujinga ni kuamini hapa duniani kuna haki.
Ndio sababu saudia haungani na wajinga wajinga sababu anajua hatakula huo ujinga wao.
 
Maslahi ya kiutawala na ushawishi ulimwenguni.

Kama issue ni uhuru wa kitamaduni kwanini Allah anahusishwa,yaani wewe unapigania haki za ushoga halafu ukiua anayekunyanyapaa unapaza sauti"Allah akbar"!!!

Embu katafiti mambo,demokdasia hata US au western haipo,UK tu hapo kuna malkia na mfalme.
Ugomvi baina yao wala sio huo,huo ni mwamvuli tu.

Mfuate mara ngapi sasa!!!nitajie nchi moja inayoendesha kwa kanuni za Quran ama kiislam.

Ujinga ni kuamini hapa duniani kuna haki.
Ndio sababu saudia haungani na wajinga wajinga sababu anajua hatakula huo ujinga wao.
😅😅😅Tofautisha liberal movements na tabia za hovyo ,ukitaka tabia za hovyo angalia miji hatari duniani ,yaani unauliwa au kuporwa bila ya sababu nenda tu hapo south.

Ukweli ni kwamba hata Tanzania katiba sera yake ya foreign policy wamekataaa kuingiliwa kweny mambo yao ya ndani, China na Russia wanaingia kweny mgogoro na hao jamaa kwa sababu wanalazimisha utamaduni wao wa democracy.

Tangu afe Gaddaf kaangalie nn kinaendelea pale Libya ,je ushawahi kuona majeshi ya nchi za Asia huko America au Europe ?
 
😅😅😅Tofautisha liberal movements na tabia za hovyo ,ukitaka tabia za hovyo angalia miji hatari duniani ,yaani unauliwa au kuporwa bila ya sababu nenda tu hapo south.
Sasa kuporwa hovyo na kuuliwa kwa jina la Allah ipi ni dalili ga kuchukiza???
Ukweli ni kwamba hata Tanzania katiba sera yake ya foreign policy wamekataaa kuingiliwa kweny mambo yao ya ndani, China na Russia wanaingia kweny mgogoro na hao jamaa kwa sababu wanalazimisha utamaduni wao wa democracy.
Narudia tena,kafanye utafiti.
Tangu afe Gaddaf kaangalie nn kinaendelea pale Libya ,je ushawahi kuona majeshi ya nchi za Asia huko America au Europe ?
Hayapo kwa sababu wao sio super power,ila kwa sasa yameanza kuingizwa nchi mbali mbali.
China ana base zake hata russia pia humu africa.
 
Mafuta..

NCHI NYINGI ZA ISLAM ZIMEBARIKIWA RASILIMALI YA MAFUTA.

KaziKwelikweli/JobTrueTrue
Sio kweli,
US, Mexico, Canada, Brazil, Venezuela, Ecuador Colombia, Argentina, Urusi, China na Australia zinazalisha mafuta kwa wingi tu.
 
Sasa kuporwa hovyo na kuuliwa kwa jina la Allah ipi ni dalili ga kuchukiza???

Narudia tena,kafanye utafiti.

Hayapo kwa sababu wao sio super power,ila kwa sasa yameanza kuingizwa nchi mbali mbali.
China ana base zake hata russia pia humu africa.
😅😅😅Kwani " Allah" maana yake ni nn? Tafute hata kamusi usome.

Kulikuwa na haja gani nyie makafiri mpeleke majeshi kweny nchi za watu?
 
😅😅😅Kwani " Allah" maana yake ni nn? Tafute hata kamusi usome.

Kulikuwa na haja gani nyie makafiri mpeleke majeshi kweny nchi za watu?
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom