Kwanini Mwalimu Nyerere aling'oa reli ya Dar-Lindi, Mtwara, Nachingwea?

Kwa hiyo sijaelewa hapa....reli dar-mtwara ilikuwepo au haikuwepo????

hakukuwa na reli dar lindi-mtwara reli ilikuwepo mtwara kwenda masasi na ilitolewa ikapelekwa kujengea reli ya tabora mpanda huo ndio ukweli wa mambo
 
Kinachosumbua humu jamvini ni ushabiki. Swali lina mantik, ni juu yetu kujadili kwa mantik. Ushabiki wa dini iliyoletwa kwa mashua na ile iliyoletwa kwa meli wala havitatujenga.waafrika tumejikuta tuko katkat ya migongano ya kimsimamo wa imani(ideology?) na katkat ya vita vya dini hiz mbili; Mungu wa Mecca na Mungu wa Roma. Jamvi lisiintatein ushabiki huo. Nadhan hoja ya mjumbe kuhusu kilimo cha karanga ina mantik kama kuna mwenye ufahamu zaid atujuze lakini kukimbilia udin ktk kila hoja si sahihi !
 
Napenda kuchangia km ifuatavyo: Ni kwanini nyerere hakufanya lolote si Ujenzi wa mashule,vyuo,barabara,reli na hata majengo ya serikali kwa kipindi chote cha utawala wake zaidi ya tulivyo RITHI TOKA UTAWALA WA KIKOLONI?
Kwani reli ya uhuru kwenda zambia, barabara ya lami kwenda zambia, Chuo kikuu cha D'salaam n.k. vilijengwa wakati wa utawala wa mama yako?
 
Kinachosumbua humu jamvini ni ushabiki. Swali lina mantik, ni juu yetu kujadili kwa mantik. Ushabiki wa dini iliyoletwa kwa mashua na ile iliyoletwa kwa meli wala havitatujenga.waafrika tumejikuta tuko katkat ya migongano ya kimsimamo wa imani(ideology?) na katkat ya vita vya dini hiz mbili; Mungu wa Mecca na Mungu wa Roma. Jamvi lisiintatein ushabiki huo. Nadhan hoja ya mjumbe kuhusu kilimo cha karanga ina mantik kama kuna mwenye ufahamu zaid atujuze lakini kukimbilia udin ktk kila hoja si sahihi !
Muongo mkubwa, swali halina mantiki yoyote zaidi ya uzushi kwani hakujawahi kuwepo reli ya Dar-Lindi.
 
Hata kama ingekuwepo ningempongeza kama angeing'oa kwa sababu watu wa huko ni wavivu hawafanyi kazi so Baba wa taifa hakuona sababu ya kuwapelekea reli ili waone changamoto na wajue wajibu wao kuwa wanatakiwa kufanya kazi na sio yale waliyozoea.:coffee:

Hebu refresh kumbukumbu na niambie lini ulisikia kusini wanapelekewa mahindi ya msaada?! ni ukanda gani nchi hii unaongoza kwa kupelekewa msaada wa chakula?! wale wanaouza punye kwa jero mitaa ya buguruni, tmk na m'nyamala ni wa2 wa kusini wale?! mtu asiye mvivu ataishi kwa kutegemea kuuza uchi?! na wale ombaomba waliojaa kila kona ya dar es salaam ni wa2 wa kusini? hivi mtu asiye mvivu ataishi kwa kutegemea kuombaomba?! hivi leo ikipigwa sensa ya ma-back tatu hapa dar, idadi kubwa inatoka kusini?! hii mtu asiye mvivu ataishi kwa kutegemea kuosha vyombo na kufua chupi za watoto?! Hii hapa Dar ni watu wa wapi wanapongoza kwa kazi ya shoe shine? mtu asiye mvivu ataishi kwa kutegemea kusafisha viatu?!
----MALAYA WA NCHI HII HAWATOKI KUSINI
----MA-HOUSE GIRL WA NCHI HAWATOKI KUSINI
----SHOE SHINE WA NCHI HII HAWATOKI KUSINI
----OMBAOMBA WA NCHI HII, HAWATOKI KUSINI

SASA watu wanaofanya kazi kama hizo utawaitaje kama sio wavivu?!
 
Kwa hiyo sijaelewa hapa....reli dar-mtwara ilikuwepo au haikuwepo????

Dar - Mtwara haikuwepo, ambayo ilikuwepo nasikia ni Masasi>>>>Mtwara, na Nachingwea>>>>Mtwara. Hata hivyo, sababu za kuondolewa kwake naona hazina msiingi ingawaje watu wanatetea ujinga. Inasemekana kwamba, ujenzi wa hiyo reli ilikuwa ni kwa ajili ya urahisishaji wa kusafirisha zao la karanga kutoka masasi na nachingwea to mtwara! Siamini kwamba iling'olewa baada ya kuona haina manufaa coz' sijui iliwezaje kujengwa wakati waliona sehemu haipo pontetial. Na hata kama ilionekana zao la karanga limedorola, wht abt Korosho ambalo ni zao lililopo kusini miaka kwa miaka?!
 
Halafu humu ndani watu wana akili za ajabu sana!! yaani Nyerere akisemwa watu wanahusisha na udini, wht a trash!!! Binafsi kama kuna Rais ninaye-mdis basi nyerere yupo top! si kwa sababu ya dini yake....hata kama angekuwa muislamu bado ningem-dis tu kwa sababu hata kama atatetewa vp, umaskini wa nchi hii umesababishwa zaidi na Nyerere! Nyerere sio kwamba alikuwa na mapungufu, la hasha! Alikuwa na mapungufu kwenye siasa lakini kwenye masuala ya uchumi alikuwa ni mbovu asiye na mfano...mipango mizuri alikuwa nayo lakini utekelezaji zero!! hayo si mapungufu, huo ni ubovu usio na mfano! Nchi inakosa hata viberiti bdo unaita mapungufu?! watu wanafua kwa majani ya nini sijui bado unaita mapungufu?! Nakumbuka long time ago, Jenerali Ulimwengu aliwahi kuandika "siafu wakipanda kitandani, hiyo ni kero! Mchwa au sisismizi wakipanda kitandani, hiyo ni kero! lakini Nyoka akipanda kitandani, asilani huwezi kuita kero hata kidogo!" alikuwa anazungumzia suala la rushwa....kwamba rushwa sio kero, ni dhahama! Hiyo, kwenye masuala ya uchumi si kwamba nyerere alikuwa ana mapungufu; jamaa ni 100% looser! Tuache unafiki wa kujifanya tunampenda wakati hamna chochote cha maana alichofanya zaidi ya kukimbilia sijui kaleta umoja sijui madudu gani sijui utafikiri duniani kote kwenye umoja ni TZ peke yake! Naheshimu mazuri machache aliyofanya lakini mabovu ni mengi zaidi!
 
Mbona unashupalia sana?
Ulimsaidia wewe kuing'oa hiyo reli??
 
Kati ya makosa makubwa sana ambayo Nyerere alifanya ni kule kudhani kuwa wangeweza kuliendeleza Taifa hili kwa faida ya watanzania wote. Angeamua kuwa kila mtu kivyake vyake, basi kwanza yeye mwenyewe angejiachia utajiri mkubwa sana kwa familia yake kwa kuwa taifa lilikuwa na vilaza wengi sana wakati wake, na pili, leo hii hakuna ambaye angemlaumu. Wengi wa wanoamlaumu leo ni wale waliotokana na elimu iliyotolewa bure ama kwa wazazi wao au kwa wao wenyewe na huyo huyo Nyerere kutokana na kutaifisha mali za aliowaita "mabepari" na "makabaila."
 
Nyerere alifanya makosa mengi kama binadamu, makosa ambayo hata leo yangali yakifanywa na viongozi walioko madarakani. Moja ya makosa hayo ambayo wakati huo yalionekana kuwa na maana nzuri ni kung'oa reli ya Mtwara - Nachingwea. Reli hiyo ingeachwa ingeweza kuwa kichocheo kikuu cha maendeleo ya mikoa ya kusini. Hoja ya reli kushindwa kukidhi matarajio ya kujengwa kwake ambayo ni pamoja na kupungua kwa uzalishaji wa zao la karanga na mengineyo, hakukuwa sababu ya kutosha ya kung'oa reli hiyo kwa kuwa leo tunayo reli ya Moshi - Tanga ambayo inatumika chini ya kiwango kutokana na kuwepo njia tele mbadala za usafirishaji wa bidhaa na abiria. Hata hivyo mimi licha ya kuwa ni miongoni mwa watu watokao mikoa ya kusini, sitaki kuamini kuwa Nyerere (au utawala wake) uling'oa reli hiyo kwa sababu alikuwa na chuki na watu wa mikoa ya kusini. Wengi aliofanya kazi nao wakati huo walikuwa wa maeneo ya kusini. Kawawa, Nnauye, Yusufu Halimoja, Mkapa, Abdalah Twalipo ni mifano michache ya watu hao. Ni nyerere huyo huyo aliyempigia debe Mkapa agombee uraisi na ndiye katika awamu yake amefanikisha ujenzi wa daraja la Rufiji na barabara yaMtoa mada unataka kutuaminisha kuwa Nyerere alikuwa na chuki na watu wa mikoa ya kusini. Ni wazo zuri kujikumbusha historia na matukio ya maamuzi mabaya yaliyofanywa huko nyuma yaliyoathiri maendeleo ya watu lakini ni vyema zaidi kuanzia hapo tulipo kuangalia namna watu wa kusini wanavyoweza kujiletea maendeleo yao kwa kutumia miundo mbinu iliyopo leo. Nyerere sio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo. Nawasilisha.
 
Nyerere alifanya makosa mengi kama binadamu, makosa ambayo hata leo yangali yakifanywa na viongozi walioko madarakani. Moja ya makosa hayo ambayo wakati huo yalionekana kuwa na maana nzuri ni kung'oa reli ya Mtwara - Nachingwea. Reli hiyo ingeachwa ingeweza kuwa kichocheo kikuu cha maendeleo ya mikoa ya kusini. Hoja ya reli kushindwa kukidhi matarajio ya kujengwa kwake ambayo ni pamoja na kupungua kwa uzalishaji wa zao la karanga na mengineyo, hakukuwa sababu ya kutosha ya kung'oa reli hiyo kwa kuwa leo tunayo reli ya Moshi - Tanga ambayo inatumika chini ya kiwango kutokana na kuwepo njia tele mbadala za usafirishaji wa bidhaa na abiria. Hata hivyo mimi licha ya kuwa ni miongoni mwa watu watokao mikoa ya kusini, sitaki kuamini kuwa Nyerere (au utawala wake) uling'oa reli hiyo kwa sababu alikuwa na chuki na watu wa mikoa ya kusini. Wengi aliofanya kazi nao wakati huo walikuwa wa maeneo ya kusini. Kawawa, Nnauye, Yusufu Halimoja, Mkapa, Abdalah Twalipo ni mifano michache ya watu hao. Ni nyerere huyo huyo aliyempigia debe Mkapa agombee uraisi na ndiye katika awamu yake amefanikisha ujenzi wa daraja la Rufiji na barabara ya kusini. Ni wazo zuri kujikumbusha historia na matukio ya maamuzi mabaya yaliyofanywa huko nyuma yaliyoathiri maendeleo ya watu lakini ni vyema zaidi kuanzia hapo tulipo kuangalia namna watu wa kusini wanavyoweza kujiletea maendeleo yao kwa kutumia miundo mbinu iliyopo leo. Nyerere sio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo. Nawasilisha baada ya masahihisho.
 
Hivi kama hakuna tena uzalishaji ndio in'golewe njia? Hee ama kweli nyerere alikua ni adui mkubwa wa waislam. Aliwahi pia kusema kua kama ana uwezo angevitupa visiwa vya zanzibar ktk bahari ya hindi.

rashid mfaume kawawa ndie alieamuru ing'olewe baada ya kusuasua kwa kilimo cha karanga.
 
Kama unaona unaihitaji sana hiyo reli unaweza kujitolea kuirudishia,
Ndi uzalendo huo!!
 
Tunawaza kidini, tunafikiri kidini,tunaamua kidini,tunaongea kidini, tunachangia kidini, na tunahukumu kidini! Kweli miaka 50 ya Uhuru,Tumethubutu, Tumeweza,na Tunasonga mbele!
 
Back
Top Bottom