Kwanini Mwalimu Nyerere aling'oa reli ya Dar-Lindi, Mtwara, Nachingwea?

kwa nini Nyerer alichakachua wanafunzi waliokuwa wakifaulu kutoka Bukoba na Kilimanjaro na kuwaingiza vilaza watokao Lindi na Mtwar??
 
Nyerere aling'oa reli ya kusini kutekeleza ule mpango wake maalum wa kuwadhulumu jamii ya kiislam period

Kale ka-babu udini ulimsumbua sana

Angekuwa mdini nadhani hili Taifa lingekuwa na misingi ya kikikristo na asingeupinga udini kwa vitendo angepinga kwa maneno kama Jk afanyavyo kwa mafisadi
 
Ni lini Nyerere alingoa reli ya Dar-Lindi? Na je katika historia ya Tanzania reli hii ilishawai kuwepo?

Majibu ya maswali haya yanatosha kabisa kupima uelewa wa muuliza maswali na kusudi lake.

Labda nimuulize swali huyu mwenzetu; Kwa nini reli ya kutoka Mombo-Moshi-Arusha-Taveta haitumiki?
 
resize_image.php


Hili ni jambo ambalo ukimuuliza Nyerereist yoyote hatokupa jibu

Mindhali humu kuna GREAT THINKERS naamini tutapata data tuu kwa nini the so called baba wa taifa alimua hii reli ingolewe

Nawasilisha

soma historia kuanzia German East Africa, Tanganyika na sasa Tanzania, hakukuwahi kuwa na leli toka dar kwenda lindi!
 
Kwa hiyo sijaelewa hapa....reli dar-mtwara ilikuwepo au haikuwepo????
 
Inasitikitisha kuoa jinsi historia ya nchi yetu inavyopotea au kupindishwa hata kabala ya kupita vizazi vingi. Hii inawezekana ni kutokana na kutoandikwa vizuri.

Hapajawahi kuwepo reli toka Lindi au Mtwara mpaka Dar es Salaam. Ilikuwepo reli kutoka Mtwara hadi Nachingwea. Reli hii ilijengwa na Waingereza mara tu baada ya vita kuu ya pili. Sababu ya kujenga reli hii ilikuwa ni kusafirisha karanga (groundnuts) kutoka kwenye mashamba makubwa ya karanga ambayo yalikuwa yanmefunguliwa huko Nachingwea. Mara baada ya vita kuu ya pili dunia ilikumbwa na uhaba mkubwa wa mafuta ya kupikia. Hicho ndicho kilichofanya wakoloni waanzishe yale mashamba ya Nachingwea. Ule mradi haukufanikiwa na reli ikabaki ikifanya kazi kwa hasara kubwa kwani sehemu hizo za kusini uchumi wake kwa kweli hadi leo hii siyo mzuri kabisa.

Nadhani kwenye mwaka 1963 serikali ya Tanganyika iliyoongozwa na Julius Nyerere iliamua kung'oa ile reli na kujenga reli ya Mnyusi, ambayo inaunganisha reli ya kati na reli inayotoka Tanga kwenda Arusha.
 
Mbona Nyerere hakungoa ya Tanga iliyokuwa inaenda kwa Waislamu Majority
Mbona hakungoa ya Kigoma na Tabora inayopita kwenye Waislamu Majority

Hivi huu udini wa Humu JF unaletwa na nini?
Hivi ni kwa nini?



Unaletwa na wajinga ambao badala ya kujadili mambo kigreat thinkers wenyewe wanaingiza udini,ushabiki kila mahali. jamani tuendelee kukemea tabia hiyo ili tuendelee kupata michangao ya maana na kudumisha JF.
 
hapa mimi sijaelewa kwamba reli ilikuwepo ikawa haina umuhimu kiuchumi ikan'golewa na whoever!! cha kushangaza hapa huyo alijenga reli hiyo alikuwa blind kwamba hakufanya feasibility study kwanza kujustify ujenzi wa reli hiyo??hebu mwenye majibu yenye akili zaidi atoe maana sikubali reli ilijengwa ikawa hailipi ikang'olewa????
 
Hivi kama hakuna tena uzalishaji ndio in'golewe njia? Hee ama kweli nyerere alikua ni adui mkubwa wa waislam. Aliwahi pia kusema kua kama ana uwezo angevitupa visiwa vya zanzibar ktk bahari ya hindi.
Kweli mambumbumbu mmejaa humu. sijawahi kusikia hata baba wa vilaza JK akimwita Nyerere baba wa taifa! anaishia na "mzee nyerere"
Hivi hizi chuki mtaendeleza hadi lini? au UDINI? umaskini wa fikra? au umeaminishwa na kulishwa ahadi hewa za tende za bure kutoka kwa wajomba wa jangwani? pole sana kwa mawazo finyu!! kila siku UDINI umekujaa!Nya$$##@@&^ wewe!
 
Nasema tena....Hapajawahi kuwa na reli ya Dar- Mtwara ni uwongo mkubwa...reli iliyokuwepo ni Mtwara mpaka Masasi iliyong'olewa na mkoloni kwa kutokuwa na umuhimu wa kiuchumi wakati huo....

Naomba mnisaidie, kwa maana sina ufanmu kabisa kuhusu reli, iwe ya Dar-Lindi/Mtwara au hiyo unayoisema ya Mtwara - Masasi ilijengwa na nani? na ni mkoloni yupi aliyeng'oa? Ni kwa ajli ya ufahamu tu.
 
Nyerere aling'oa reli ya kusini kutekeleza ule mpango wake maalum wa kuwadhulumu jamii ya kiislam period

Kale ka-babu udini ulimsumbua sana

du! Wajinga badoi wapo wengi humu JF.
Povu linawatoka kwa dini za waarabu na wazungu!
 
Back
Top Bottom