crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Tangu nikiwa shule ya msingi nimekuwa nikisikia habari za mto nile. Mto nile ndio mkubwa zaidi barani Africa na chanzo cha maji yake ni ziwa victoria. Misri wanautumia mto huo kwa kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kwa nchi yao.
Tija ya ziwa hili kwa nchi yetu sijawahi kusikia zaidi ya uvuvi na maneno kwamba Mungu katubariki rasilimali hii na ukifuatilia zaidi hata mikoa inayozunguka ziwa hilo huwa inakubwa na uhaba wa maji.
Kwanini hakuna sifa ya kutia fora kwa nchi yetu juu ya ziwa hili zaidi ya kujisifu tu tunalo?
Kwanini nasi tusitumie kwenye kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kama hao wenzetu wa misri? Shida nini huku kwetu?
Tija ya ziwa hili kwa nchi yetu sijawahi kusikia zaidi ya uvuvi na maneno kwamba Mungu katubariki rasilimali hii na ukifuatilia zaidi hata mikoa inayozunguka ziwa hilo huwa inakubwa na uhaba wa maji.
Kwanini hakuna sifa ya kutia fora kwa nchi yetu juu ya ziwa hili zaidi ya kujisifu tu tunalo?
Kwanini nasi tusitumie kwenye kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kama hao wenzetu wa misri? Shida nini huku kwetu?