Kwanini mbwa ni wachache lakini ng'ombe ni wengi japo kila siku wanachinjwa?

mkuu karibu kwa hoja ya kufikirika kwa kweli mbwa awapo kibiashara sana ila wanaliwa sana pia asa mikoa fulani na kipindi hiki cha utandawazi kwa kukaribisahwa wachina nchini kwa kweli tusipokuwa makini kuna hatari ya kupotea kabisa kwa mbwa na nyoka asa nyoka wanaliwa sana na hawa wachina kwa vile watu hawafuatilii sana ndio mana athari zake azionekani sana ila baada ya mda tukijazinduka kutakuwa akuna kabisa hawa viumbe afadhali wanaigeria wao wakati wa mvua wanafaidi konokono

kaka mkubwa najua mbwa nao wana majanga yao yanayopelekea kufa kwa wingi.ikiwepo ajali za barabarani,magonjwa,kuliwa,na hata kuuwawa makusudi pale wanapopatwa na ugonjwa wao wa kichaa cha mbwa. Ila DR.PHONE kuna kitu hapa kilicho nisumbua ni jinsi mbwa anavyo zaa watoto kuanzia 2-15 kwatakwimu hii niltegemea mbwa wangekuwa wengi sana.lakini ndo kama ulivyosema hapo juu kuna uwezekano wa kutoweka kwa viumbe hawa.
 
kaka mkubwa najua mbwa nao wana majanga yao yanayopelekea kufa kwa wingi.ikiwepo ajali za barabarani,magonjwa,kuliwa,na hata kuuwawa makusudi pale wanapopatwa na ugonjwa wao wa kichaa cha mbwa. Ila DR.PHONE kuna kitu hapa kilicho nisumbua ni jinsi mbwa anavyo zaa watoto kuanzia 2-15 kwatakwimu hii niltegemea mbwa wangekuwa wengi sana.lakini ndo kama ulivyosema hapo juu kuna uwezekano wa kutoweka kwa viumbe hawa.

kwa wingi wa uzaaji kwa takwimu za haraka ni kwambwa mbwa wanaliwa zaidi ya ngombe ila kwa siri sana na kwa wingi sana
 
kwa wingi wa uzaaji kwa takwimu za haraka ni kwambwa mbwa wanaliwa zaidi ya ngombe ila kwa siri sana na kwa wingi sana

lol! Mkubwa nimekupata hivyo kumbe hawa viumbe wasingekuwa wanaliwa kwa siri hivi sasa wangekuwa wengi zaidi ya ng'ombe. Nadhani nimeelewa na nimejifunza kitu.
 
lol! Mkubwa nimekupata hivyo kumbe hawa viumbe wasingekuwa wanaliwa kwa siri hivi sasa wangekuwa wengi zaidi ya ng'ombe. Nadhani nimeelewa na nimejifunza kitu.

kwanini wanakula kwa siri?
 
Nadhani kuna kitu kinaendelea chini kwa chini, huenda watu tunakula mbwa kila siku tukidhani ni ng'ombe kumbe ni mbwa!! Ukichukulia na maisha yalivyo, haiwezekani kwa akili ya kawaida ngombe wawe wengi zaidi kuliko mbwa.
 
Naamini dar tumekula mbwa sana, kunasiku mtu aliniambia kuwa jamaa ananunua mbwa hata wakubwa so hata wangu angenunua, nilipochunguza zaidi nikagundua kuwa jamaa mwenyewe wala hana mbwa hata mmoja nyumbani na anakaa nyumba ya kupanga!

Nikabaki na kiulizo
 
Kaka Habari...Kwa kweli suali lako ni la kuvutia Sana..na majibu kutoka kwa jamii lazima yawe ya kutofautiana...bila shaka...

Unajua ukichunguza kwa makini..Mara nyingi mbwa watoto wao sio wote wanofikia ukubwa...wengine hufa wakiwa wadogo..pia kuna baadhi ya mbwa ambao huwa wanafungwa kwa uangalizi mzuri...wafuagaji hufunga uzazi wa mbwa wao..kwa io mbwa anaweza kuzaa mara 3 au 4...Mbwa koko ambao ni wa mitaani watoto wao huishi si zaidi ya miaka 3 au mi 4..kwa hio death rate ya mbwa ni kibwa kuliko ya ngombe...

Pia Ng'ombe wanafugwa na watu wengi tena kwa wingi...Nafkiri huwezi kukuta mtu mmoja ana mbwa 200 kwa wakati m1 lakini ni jambo la kawaida kwa mmasai kua na ng'ombe 200( majike 175 na madume 25) ambapo kama wakizaa toto wa2 ndani ya miaka 5 utakua na ng'ombe 350+(150mama zao)...ndo kusema kama utakua na wafugaji 30000...utakua una ng'ombe 15M ndani ya miaka 5 Jumlisha madume 25*30000 ambayo yanatokana na wafugaji hao.

Point nyengine ni kwamba ukienda sokoni unaweza ukakuta nyama ngengine pai...elewa kuwa kuna mbuzi pia...ambao..wanazaana kwa kasi kubwa pia inayokaribiana na mbwa...kondooo nao pia hawapo nyuma....usisahahu wale waliopinga amri ya Mungu ya Kula nguruwe...Pia Jambo Jengine la kitaalam ni kua kuna yale Mang'mbe makubwa...unaweza kukuta ng'ombe m1 anaweza kuuzwa ata kwa wiki 2 ndani ya Super market 1...kwa io unaweza kwenda kwa muuza nyama m1 na wewe ukadhani kua anachinja ng'ombe kila siku..kumbe sio kweli...ngo'mbe m1 anweza kutoka kilo karibu 600 kilo 1 inaweza kuliwa na hata watu 10 kwa hio nafikiri tunaweza kuona namna gani Siri yenyewe ilivyofichika.....Mwisho wa siku tukitaka kuzihesabu Neema za Mwenyezi Mungu hatutoweza kuzihesabu...Kwani Hata maziwa ya ng'ombe ni mchanganyikoa wa Residues za digestion process (Kinyesi) na damu...

Ama Mbwa sio wachache kama unavyodhani tatizo ni kwamba wamekua wakimilikiwa na watu wengi katika hali ya mmoja mmoja au wawili wawili...Tena wakiwa wanafungiwa ndani...wengine wapumbavu wanakaa nao juu ya makochi.vitanda vya kukalia...wengine pia huolewa na mbwa.....
 
kaka mkubwa najua mbwa nao wana majanga yao yanayopelekea kufa kwa wingi.ikiwepo ajali za barabarani,magonjwa,kuliwa,na hata kuuwawa makusudi pale wanapopatwa na ugonjwa wao wa kichaa cha mbwa. Ila DR.PHONE kuna kitu hapa kilicho nisumbua ni jinsi mbwa anavyo zaa watoto kuanzia 2-15 kwatakwimu hii niltegemea mbwa wangekuwa wengi sana.lakini ndo kama ulivyosema hapo juu kuna uwezekano wa kutoweka kwa viumbe hawa.

Darwin's theory of Natural selection hiyo
1.Many organisms produce many offspring than they need to replace them
2.If offsprings are many resources e.g Food become limited
3.The occurs STRUGGLE FOR EXISTENCE and SURVIVAL OF THE FITTEST

SUMMARY:Viumbe wengi uzaa watoto wengi ili waje kuwa replace pale watakapokufa...Lakini watoto wakiwa wengi chakula na maradhi inakua ni tabu kuweza kuwatosha wote...kumbe basi wanaanza kushindania hizo limited resorces(Struggle for existence)...sasa yule mwenye nguvu au mwenye uwezo wa kupata hizo limited resources basi ndo ataishi(Survival of the fittest)

Hiyo ndo NATURAL SELECTION kumbe mbwa wanazaliwa wengi lakini sio wote wanafikia REPRODUCTIVE AGE

REF:ON THE ORIGIN OF SPECIES by Charles Darwin(father of Biology)
 
Ukisomea mambo ya ecology tunaita balance of nature Mungu aliiumba dunia akiipa support of nature ili wanyama waweze kuishi vizuri na cku zote kitu kile kinachohitaji kwa sna lazima kitaongezeka zaidi kwa sababu matumizi yake yapo juu kuliko kile kitu kisichohitajika sana katika dunia hii.
Nimeeleweka nadhani.
Thank you.
 
Acha uvivu wa kufikilia ina maana unafananisha thaman ya ngombe na hayo majibwa kwanza upo nchi gan kwa sasa
 
Kwanza hawa wote ni wanyama wa kufugwa.., na sababu wanafugwa cha kujiuliza ni kwamba nani anaamua idadi ya offsprings hawa viumbe wawe navyo? Jibu ni mfugaji.

Na mfugaji ni faida kwake akiwa na ngombe wengi iwezekanavyo kutokana na faida na mbwa wachache iwezekanavyo (hence ni mbwa wengi wanakuwa castrated ili kuondoa kizazi). Lakini kama hawa wote wangekuwa wanyama pori basi huenda kungekuwa na mbwa wengi kuliko ngombe...

Ingawa pia hata wangekuwa wanyama pori majani ni mengi hivyo ngombe angeweza kuwa supported zaidi kwenye ecosystem kutokana na chakula kingi, kuliko mbwa ambaye ingebidi awe anawinda na competition ya kina simba huenda ingecontrol uzazi wake.
 
very large percent of the households donot keep dogs, but most of them have cows
 
mbwa hawana msosi..... na ng'ombe wanathaminiwa mno. Hata hivyo; bei ya Nyama ingalikua chini Ng'ombe wangepungua. Ila pia sina jibu la msingi maana naamini bei ya nyama ingalikua chini basi wafugaji wasingeuza mifugo yao; na ng'ombe ndio wangekua maradufu.
Bado tuu maswali yangeendelea maana ng'ombe wangeongezeka; majani yangeisha na njaa itawamaliza.
Bado sina jibu.
 
Back
Top Bottom