Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Jamani wapendwa sijui lolote kuhusu sababu inayofanya ng'ombe wawe wengi wakati mbwa wakibakia wachache.ninavyofahamu mimi ni kwamba
1.mbwa anazaa watoto zaidi ya wawili mpaka kumi.
2.mbwa haliwi
3.anazaa x2 kwa mwaka (sina uhakika) pamoja na hayo nilitegemea mbwa wangekuwa wengi zaidi ya ng'mbe kwa sababu
1.ng'ombe anazaa x1 kwa mwaka
2. Kila siku kwa tanzania nzima wanachinjwa zaidi ya ng'ombe 200
3. Anazaa mtoto mmoja
Swali langt kwenu je? Kuna nini hapa kinachosababisha mtanziko wa kufikiri?
1.mbwa anazaa watoto zaidi ya wawili mpaka kumi.
2.mbwa haliwi
3.anazaa x2 kwa mwaka (sina uhakika) pamoja na hayo nilitegemea mbwa wangekuwa wengi zaidi ya ng'mbe kwa sababu
1.ng'ombe anazaa x1 kwa mwaka
2. Kila siku kwa tanzania nzima wanachinjwa zaidi ya ng'ombe 200
3. Anazaa mtoto mmoja
Swali langt kwenu je? Kuna nini hapa kinachosababisha mtanziko wa kufikiri?