Mtoto Wa Mbale
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 457
- 300
Wassira naye alikuja na hii:
"Mimi hapa ninayezungumza ni waziri ninao uwezo wa kuhamisha pesa hata kutoka sehemu nyingine kuja huku".
Amesahau kwamba bunge ndo lenye mamlaka ya kuidhinisha matumizi ya serikali na kwamba ni makosa kufanya re-allocation bila idhini ya Bunge. Huyu alipaswa kujiuzulu na kushtakiwa kwa kauli hii tu.
"Mimi hapa ninayezungumza ni waziri ninao uwezo wa kuhamisha pesa hata kutoka sehemu nyingine kuja huku".
Amesahau kwamba bunge ndo lenye mamlaka ya kuidhinisha matumizi ya serikali na kwamba ni makosa kufanya re-allocation bila idhini ya Bunge. Huyu alipaswa kujiuzulu na kushtakiwa kwa kauli hii tu.