ANDENDEKISYE C
Member
- Mar 5, 2012
- 92
- 23
Nimekuwa nikitafakari mpaka nimefikia hatuaya kuliandika hili. Mara nyingi, hususani kwenye chaguzi ndogo, unakuta wazirikwa kuwa ni mtu wa chama tawala, CCM, anakwenda kwenye kampeni na kutoa ahadikwamba wananchi wakichagua CCM atafanya mambo kadhaa. Je hii ni halali?.
Nakumbuka Dr. Magufuli alitamka hivyo Igunga, na kibaya zaidi, jana tarehe 22Machi,2012 Waziri Nagu amenukuliwa akisema Mkichagua CCM nitaharakazi ujenziwa kituo maalum za biashara cha kimataifa, na akasema mkichagua upinzaniserikali itacheleweshwa. Tunaomba TUME ya uchaguzi iingilie kati muingiliano waserikali kukipigia kampeni chama tawala kupitia fedha za walipakodi. Sinauhakika, ichunguzwe pia kama wanafika huko kwa fedha za chama na si serikali.
Kwa vyombo vya habari, pengine pia ni borakumtamka mtu kama mwana CCM na sio waziri, kwani kusema waziri kunaweza piakumaanisha ni agizo la serikali kuwa wananchi wachague mtu fulani. CHADEMA piani vema sasa jambo hili likafanyiwa kazi kwa ufasaha.
Nakumbuka Dr. Magufuli alitamka hivyo Igunga, na kibaya zaidi, jana tarehe 22Machi,2012 Waziri Nagu amenukuliwa akisema Mkichagua CCM nitaharakazi ujenziwa kituo maalum za biashara cha kimataifa, na akasema mkichagua upinzaniserikali itacheleweshwa. Tunaomba TUME ya uchaguzi iingilie kati muingiliano waserikali kukipigia kampeni chama tawala kupitia fedha za walipakodi. Sinauhakika, ichunguzwe pia kama wanafika huko kwa fedha za chama na si serikali.
Kwa vyombo vya habari, pengine pia ni borakumtamka mtu kama mwana CCM na sio waziri, kwani kusema waziri kunaweza piakumaanisha ni agizo la serikali kuwa wananchi wachague mtu fulani. CHADEMA piani vema sasa jambo hili likafanyiwa kazi kwa ufasaha.