mtemiwaWandamba
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 561
- 223
Kifanyio ni mchi. Mchi utakua hautwangi mpunga vizuri.kifanyio ndo nini?
Kifanyio ni mchi. Mchi utakua hautwangi mpunga vizuri.kifanyio ndo nini?
eeeh?makubwa hayo aunt faiza wapenda makalio ya wanaume,hii kali ya mwaka ndo naskia kwako yakheeeLaiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.
Mtafute kiongozi wa jukwaa la MMU atoe ufafanuzi.
Kama umemsahau jina lake hapa JF ni ''Mzee wa Mbunye''...
Umenyimwa nini?
Jamani kuna kijana siku moja nimemsikia, nikacheka kutwa nzima kila nikikumbuka huwa nacheka, kasema "mwanamke shuzi!", ikabidi nimuulize ana maana gani? akanambia "mijambo mama ndio muhimu, mwanamke bila mijambo huchosha", sasa hiyo mijambo? mtajza wenyewe. Asiyejuwa maana haambiwi maana.
kwenu waungwana!
Kwan iwe hiyo sehem inawavutia wanaume wengi?
Inawakilisha vitu gani?
Umenyimwa nini?
Jamani kuna kijana siku moja nimemsikia, nikacheka kutwa nzima kila nikikumbuka huwa nacheka, kasema "mwanamke shuzi!", ikabidi nimuulize ana maana gani? akanambia "mijambo mama ndio muhimu, mwanamke bila mijambo huchosha", sasa hiyo mijambo? mtajza wenyewe. Asiyejuwa maana haambiwi maana.
Dada Faiza: mimi ni mmoja wa wasiojua maana ila naomba niambiwe maana.
Tigo?
Hapana.
Kuna milio fulani inayofanana na mashuzi hutoka shughuli inaponoga nzito, hiyo ndio alikusudia. Usiniulize zaidi tafadhali.
Bila makalio sijaoa
Utamu uko siku zote kusikoruhusiwa, lakini tahadhari kuna wanawake nao siku hizi lazima wamgeuze mwanaume na kumnanihii kwa ulimi na vidole huko makalioni.
Kweli wanaume mna mtihani.... Dah!