bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
PhD anafanya wapi mkuu?asije naye akawa kama wale wasomi wa internet aliyowasema Mwakyembe kwenye press conference,teh tehe
Ni kweli mkuu, magufuli anafanya PhD sasa na haita kuwa feki anafanyia UDSM na kama sikosei anaangalia mbolea fulani katika ganda la korosho you can prove it.