KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Jamani mbona Misri wanawadhibiti mafisadi kisawasawa. Hawa wa Misri ndio waliokuwa miungu watu enzi hizo. Tusikate tamaa baada ya 2015, tutaomba mwongozo kutoka Misri jinsi gani tuwashughulikie hawa wakwetu.