sawariya
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 382
- 346
kwanini madirisha ya chooni yajengwe madogo wadau?
Sababu kubwa ni mzunguko wa hewa ndani ya nyumba, kawaida upepo lazima uingilie penye upenyo mkubwa utokee padogo
Kwa msingi huo madirisha ya choo yakiwa makubwa yatarudisha harufu ndani ila kwa vile sebuleni na vyumba yanakua makubwa automatically harufu ya chooni itatoka nje kupitia madirisha yake ambayo ni madogo,
Nina imani kwa kiasi flani nimekujibu