Kwanini kuwa na mawaziri toka Zanzibar wakati wao hawana hata mmoja toka bara?

kweli mimi nakuunga ,mkono-ndo mana tunasema swala la muungano linabidi kuangaliwa kwa upya-kama tumeunagana swala la mtu wa zanzibar kuwa na power huku isingekuwa tatizo kama pia,watu wa bara wangekuwa na power visiwani,yani watu wa bara pia wangekuwa mawarizi huko visiwani-ila mimi naona hapa kuna tatizo-ni mtindo wa CHANGU CHANGU-CHAKO CHANGU-mana wao huku bara tuna wanzibar wengi tu-kwenye vyeo mbalimbali-lakini wao kutoa vyeo kwa wa bara inakuwa ngumu kidogo-nashindwa kujua kwa nini CCM inakuwa na sera ya ajbu ya mtindo huu yenye kuwalea foreigners kwa kiasi hiki-kama ni kuungana-waache wimbo wao wa taifa,bendera yao na prezda wao-mbona kuna nchi zimeungana na kumekuwa na rais mmoja na mambo mengi yanaendaeshwa kiumoja?cha ajabu zaid sasa kuna makamu wa rais 2 huko zenji-inamana kukiwa na chama kingine chenye upinzani mkubwa kunaweza kuwa na makamu wa rais 3,ili ku-please raia wa zenji-NINACHOTAKA KUSEMA NI KWAMBA-KAMA WANZIBAR WANAWEZA KUWA NA VYEO HUKU BARA-BASI IWE VIVYO HIVYO KWA W-BARA KUCHAGULIWA KUWA VIONGOZI/MAWAZIRI HUKO ZANZIBAR-BEYOND HAPO BORA MUUNGANO UFE
hayo masuala uliza Tanganyika...Ukweli hakuna mzanzibari anaetaka Muungano, bali ni kulazimishana tuu...HIVI NANI HASA ANALAZIMISHA HUU MUUNGANO?
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama ukweli huo utachukua muda watu kuuelewa na kukubali kuwa ni ukweli.

Hivi Rais akichagua mwaziri, say 5 kutoka mkoa mmoja, example Kirimanjaro kweli watu hawata lalamika??? Hivi Dr. Shein akichagua mawaziri wote kutoka upande mmoja wa zanzibar watu wataona poa tu???? Watanzania tuache unafiki bali tuwe tayari kusema ukweli palipo na ukweli.

Kuwa na mawaziri kwa uwakirishi wa sehemu inafaida zaidi kulik hasara. Kwanza inaonesha utaifa zaidi, watu watu wa maeneo toafauti kushirikishwa kwenye maamuzi ya nchi, inasaidia kuongeza umoja kwani kila jamii ya kila sehemu watajiona kupewa umuhimu katika kuongoza nchi.

Lazima tufike mahali tuukatae unafiki kwa vitendo. Inaonyesha utaifa gani wakati wengine tayari wanajivunia uzanzibara wao? Mwl JK aliwashangaa viongozi waliomfuatia kwa kuyaacha mambo ya msingi ya awamu yake na kukumbatia ya kijinga. Hili la Muungano kwa muundo wake kama ulivyo sasa nila kijinga, tunatakiwa tuujadili ili tuupate Muungano unaokubalika na pande zote mbili au muungano ufe ileweke kuwa umekufa basi.
 
Inabidi Watanganyika nao wadai Tanganyika yao. Hivi wale wa G55 walishakufa wote? Hawaoni kuwa ni wakati muafa wa kuitoa hiyo agenda yao kwenye kabati walipoifungia na kuanza hata kuifuta vumbi. Wananzibari walishamla ng'ombe wao wamebakiza kumalizia mkia. Ile laana ya ubaguzi aliyosema mwl JK haitatutafuna sisi bali wao wailio anza. Tunaidai Tanganyika yetu.

Zanzibar, wamechoka kutawaliwa na Mkoloni mweusi, hana analoliljua kazi UFISADI, UCHAKACHUAGI, WATU WANABURUZWA ...KWELI MKOLONI MWEUSI MBAYA SANA...
 
Hayo ndio makubaliano ya kuulinda Muungano!
1.Shamsi Vuai Nahodha.
2.Dr.Hussein Ali Mwinyi.
3.Mahadhi Juma mahadhi.
4.Prof.Makame Mnyaa Mbarawa.
5.Dr.Abdallah Juma Abdallah[/QUOTE

Katika hii orodha umewasahau

6. Samia Suluhu
7. Pereira Ame Silima

Kweli hii forum inatoa nafasi kwa kila mwanachama kutoa mawazo yake lakini mengine huku kwetu tunasema kinehe. Sijui ni kuutokuelewa au ni makusudi? Ina maana gani ya Muungano - kwani hao mawaziri alowateua JK ni katika zile Wizara zinazoitwa za Muungano aidha kwa kuwapa Uwaziri kamili au Unaibu waziri - Jee ulitaka kama kawaida share yote itoke Bara.

Jaribu kufahamu kuwa Tanzania ni Zanzibar na Tanganyika, na Zanzibar ni Zanzibar na haya ndio makubaliano ya asili kama hamkurithika nayo ni kudai murejeshewe nchi yenu kuliko kutoa hoja isiyo na msingi kama hayawani.
 
Lazima tufike mahali tuukatae unafiki kwa vitendo. Inaonyesha utaifa gani wakati wengine tayari wanajivunia uzanzibara wao? Mwl JK aliwashangaa viongozi waliomfuatia kwa kuyaacha mambo ya msingi ya awamu yake na kukumbatia ya kijinga. Hili la Muungano kwa muundo wake kama ulivyo sasa nila kijinga, tunatakiwa tuujadili ili tuupate Muungano unaokubalika na pande zote mbili au muungano ufe ileweke kuwa umekufa basi.

Hivi kwa m scotish au welsh kwa yeye kujiiita hivyo siyo kosa na hakuna tatizo lolote,lakini kwa mtu anaetoka zanzibar kujiita yeye ni mzenj ni tatizo,hiyo ndiyo identity yake tokea miaka zaidi ya 1000 iliyopita na huwezikuibadilisha na kumuambia aiwache wakati huouamuzi wa kuibadilisha ni ya watu wawilitu.ni kama wewe ulivyouchaga utabakia kuwa mchaga tu. Zanzibar watu hawajinasibu kwa kabila lao lakini wote wako proud kujinasibu kwa uzanzibar wao na sijawahi kumsikia mscotish au welsh kwa wale ninaojuana nao kujiita yeye kujinasibu yeye ya kuwa ni m british.kwa watu from Tz mainland mko huru kujiita mnavyotaka watanganyika, wa Tz na angalia kama kuna mzanzibar atalalamika kwa nini mnajitambulisha kuwa watanganyika.ni siwa na ukikutana na muarabu anakuambia yeye anatoka Dubai baada ya kusema UAE.move on guys hicho kitu hakitobadilisha na msijipe maradhi ya moyo.kama mnaona wazenj wanawakwaza basi vunjeni muungano na nina uhakika wa zenj wanawashukuru kwa hilo
 
Tanzania ni Muungano wa Serikali 2.
1) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
2)Serikali ya Tanganyika.

Zanzibar ni nchi na ina mikoa 5.


Nafikiri hamujuwi hilo musiwe watu wanaoleta chuki kati ya watanzania na watanzania ,au ndio wale tuliombiwa katika vitabu vya dini "wana masikio lakini hawasikii na wanamacho lakini hawaoni" Mukizungumza siku zote musiangalie uwiano, muangalie katiba(Sheria).

Mawaziri wote waliotuhumiwa na kesi za ufisadi wanatoka bara basi hamujuwi tu kwanini Kikwete akaamuwa kuchukuwa wengi kutoka visiwani?

Si kila Mtanzani ni Mzazibari lakini kila Mzazibar ni Mtanzania hayo ni maneno katika katiba zetu za Tanzania.

Kama hamutaki hilo basi muombe kuundwe Serikali Tatu.
1)Serikali ya Zanzibar (Ambayo ipo)
2)Serikali ya Tanganyika (Ambayo haipo)
3)Serikali ya Muungano wa Tanzania (Ambayo mnasema kuwa ndio serikali ya Tanganyika ambayo si kweli).

M.Mungu atakufungueni vichwa vyenyu mufahamu munayozungumza
Amin

Mh!!
 
Hayo ndio makubaliano ya kuulinda Muungano!
1.Shamsi Vuai Nahodha.
2.Dr.Hussein Ali Mwinyi.
3.Mahadhi Juma mahadhi.
4.Prof.Makame Mnyaa Mbarawa.
5.Dr.Abdallah Juma Abdallah

Umemsahau waziri mwingine mmoja
6. Dr. Ali Mohammed Shein - Waziri asiye na wizara maalumu

Kulingana na KATIBA yetu Rais wa Zanzibar ni mjumbe na baraza la mawaziri wa serilaki ya JMT. Anaingia kwenye baraza la mawaziri kama waziri asiye na wizara maalumu.
 
Kwa sababu rahisi sana: Kila mzanzibar ni Mtanzania... lakini sio Kila Mtanzania ni Mzanzibar... in short Mtanzania bara sio Mzanzibar! delete the thread you have an answer.
Yes Indeed! thread hii haina maana yoyote baada ya bandiko lako!
 
Nakuunga MKANDARA kwa hoja nzuri japo ni mafupi,
we truly have to be very smart on discussing these direct issues, maana zatugusa moja kwa moja ila ni vizuri kujadili pasipo kuegemea upande wowote maana umoja wetu utavunjika.
 
mimi narudia tena-swala la muungano linatakiwa kuangaliwa kwa upya-kama wanzanzibar wanaweza kuwa viongozi huku-thats fine-pia nao wachague viongozi kutoka bara ambao watakuwa viongozi kule visiwani-as mawaziri n.k-thats muungano-lakini eti sisi tuwang'ang'anie tu kwa kuwapa vyeo huku bara then tuseme ndo cost za muungano itakuwa ujinga-ability ya kuongoza wanaweaa kuwa nayo-kama vile vile watu wa bara wanavyowezakuwa na ability ya kuongoza zaid yao-siamini kuw arais alikosa watu wa bara kuwaweka kwenye post alizoweka wazanzibar-KWA HIO HII KITU NI BORA IWE INA=APPLY KOTE-BARA NA VISIWANI,SI WAO WAJE HUKU TU-WHO ARE THEY?
mkuu una umrigani? naona umeelezea mambo ambayo huyaelewi hata kidogo... HUJUI NINI TANZANIA ,TANGANYIKA NA NINI ZANZIBAR...UPO UPO TU...
 
Lazima tufike mahali tuukatae unafiki kwa vitendo. Inaonyesha utaifa gani wakati wengine tayari wanajivunia uzanzibara wao? Mwl JK aliwashangaa viongozi waliomfuatia kwa kuyaacha mambo ya msingi ya awamu yake na kukumbatia ya kijinga. Hili la Muungano kwa muundo wake kama ulivyo sasa nila kijinga, tunatakiwa tuujadili ili tuupate Muungano unaokubalika na pande zote mbili au muungano ufe ileweke kuwa umekufa basi.

Ujinga ni kwa Mtanganyika Kuukataa Utanganyika... Tanzania ni jina badia ...ukweli unabakia pale pale...
 
UISLAMU = JK=ZANZIBAR:bump:

Hapa mkuu umekosea hamna udini kabisaa ila ni ujinga wa tanzania bara na watu wake kuwakumbatia wazanzibari kiuchumi na kisiasa. kimsingi zanzibar inainyonya tanzania bara na muungano unawanufaisha wazanzibara. Nina amini baada ya miaka 20 ijayo either muungano hautakuwepo au tanzania bara itaanza kudai uhuru wake kutoka kwa wazanzibari
 
We hujui siri ya muungano.
Zanzibar kilikuwa ni kituo kikuu cha Uislam Afrika,Ili kuondoa hali hiyo ilibidi siasa na ujanja utumike kuiweka kwenye muungano,sasa zanzibar kuna makanisa,pombe na nguruwe vinatamba kila kona.Wakuu wa kanisa wanaelewa ndio maan husikii wakipinga lakini inabaki ni siri ila kwa wachache wanaotafiti kama mimi
 
Acheni udini.

Makanisa mawili yachomwa moto Zanzibar 27/11/2010
1 Comment(s)

Radical Islamists are suspected in the demolition of two church buildings on Tanzania's semi-autonomous island of Zanzibar on Sunday (Nov. 21), as members of the congregations have since received death threats from Muslims.

The church buildings belonging to the Tanzania Assemblies of God (TAG) and the Evangelical Assemblies of God Zanzibar (EAGZ) in Masingini village, five kilometers (nearly three miles) from the center of Zanzibar city, were torn down at about 8 p.m., said Bishop Fabian Obeid of EAGZ. Mwera police received reports on the attacks on Monday morning (Nov. 22).

The latest in a string of violent acts aimed at frightening away Christians in the Muslim-dominated region, the destruction on the island off the coast of East Africa has raised fears that Muslim extremists could go to any length to limit the spread of Christianity, church leaders said.

"One Muslim was heard saying, ‘We have cleansed our area by destroying the two churches, and now we are on our mission to kill individual members of these two churches – we shall not allow the church to be built again,'" said one church member who requested anonymity.

The TAGT brick building was under construction and nearing completion; members of the congregation had gone to worship in their new building for the first time on Sunday. The EAGT building where more than 30 members met was a mud structure.

EAGT Pastor Michael Maganga and TAG Pastor Dickson Kaganga said they were fearful about the future of the church in Masingini. Pastors in Zanzibar have scheduled a meeting on Saturday (Nov. 27) to discuss how to cope with the destruction of the two buildings, said the chairman of the Pastors Fellowship in Zanzibar, Bishop Leonard Masasa of EAGT church.

Muslim extremists in Zanzibar, in concert with local government officials, have long limited the ability of Christians to obtain land for erecting worship buildings. In some cases they have destroyed existing buildings and put up mosques in their place.

Frustrated at obtaining government help to apprehend criminals, church leaders said they have little hope that the perpetrators of Monday's attacks will ever be caught. In most cases the government sides with the attackers, delaying investigation out of fear of upsetting the majority Muslim population that opposes the spread of Christianity.

In 2009, officials in Mwanyanya-Mtoni colluded with area Muslims to erect a mosque in place of a planned church building of the EAGZ, Pastor Paulo Kamole Masegi said.

Pastor Masegi had purchased land in April 2007 for a church building in Mwanyanya-Mtoni, and by November of that year he had built a house that served as a temporary worship center, he said. Soon area Muslim residents objected.

In August 2009, local Muslims began to build a mosque just three feet away from the church plot. In November 2009, Pastor Masegi began building a permanent church structure. Angry Muslims invaded the compound and destroyed the structure's foundation, the pastor said.

Church leaders reported the destruction to police, who took no action – and also refused to release the crime report, so that the case could not go to court, Pastor Masegi said.

Meantime, construction of the mosque was completed in December 2009. The planned church building's fate appeared to have been sealed earlier this year when Western District Commissioner Ali Mohammed Ali notified Pastor Masegi that he had no right to hold worship in a house.

Zanzibar is the informal designation for the island of Unguja in the Indian Ocean. The Zanzibar archipelago united with Tanganyika to form the present day Tanzania in 1964.

Muslim traders from the Persian Gulf had settled in the region early in the 10th century after monsoon winds propelled them through the Gulf of Aden. The 1964 merger left island Muslims uneasy about Christianity, seeing it as a means by which mainland Tanzania might dominate them, and tensions have persisted.
 
Back
Top Bottom