BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,580
- 2,340
Lile fisadi la msoga lilikua linalipa watu mishahara tarehe 40 mpaka tarehe 50 baada ya kukopa kutoka kwa wahuni wenzake. Hapo yeye anakua katoka kuzurula huko ulaya. JPM tarehe 22-25 watu wana mishahara yao maisha yanakwenda