Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Kuna watu wanapenda kupost mada wakisema kwa wanaume tu,au kwa wanawake tu!
Kwa tathmini niliyoifanya kwa muda sasa nimegundua ile jinsia ambayo haihusiki ndiyo huchangia sana hiyo thread kwanini hivi?
Kwa tathmini niliyoifanya kwa muda sasa nimegundua ile jinsia ambayo haihusiki ndiyo huchangia sana hiyo thread kwanini hivi?