Kwanini hivi??

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,160
Kuna watu wanapenda kupost mada wakisema kwa wanaume tu,au kwa wanawake tu!
Kwa tathmini niliyoifanya kwa muda sasa nimegundua ile jinsia ambayo haihusiki ndiyo huchangia sana hiyo thread kwanini hivi?
 
Kwa sababu mtu akiandika kwa wanaume tu lazima atawaponda wanawake, kwa hiyo ni defence mechanism !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom