Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Nimesikia kuwa Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mh.Ally Hassan Mwinyi aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.Nasikia Mzee Mwinyi alijiuzulu uwaziri Kwa kuwajibika.Nauliza in tukio gani lilisababisha Mh.Mzee Mwinyi Ajiuzulu? Kwa anayejua naomba atufahamishe kilichojili.