1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Jana Simba imepambana sana na matokeo yameniuma sana utadhan nimefiwa na mzazi, haki tena, ila kitu kinanipa taabu sana na kunipa hofu kama kweli Umoja upo Simba, pengine ndio maana matokeo yanazidi kuwa mabaya, sare au kufungwa ndio imekuwa utamaduni wetu, kitu chenyewe ni hiki, nimejaribu kupitia kwenye kurasa za friends of Simba kuona kama wana maoni ya kupongeza timu yetu kwa kupambana jana.
Sioni kabisa wakitoa sapoti ya kuwapa hongera wachezaji kwa kupambana, yaani as if hawajui kama Simba jana ilicheza, hawa watu wabaya sana kiukweli, yaani Simba kucheza kote kule hata kutoa maoni kwenye page zao huwaoni, washabiki na wanachama wamulikeni hawa watu, hawana nia njema na Simba.
Kama mapambano yataendelea hivi nna uhakika matokeo ya sare yataendelea hata kwenye mechi ya marudiano na Wydad, wanaona Simba ikifanya vzr watakosa thamani, wanataka kutuaminisha kuwa bila wao Simba haiendi ila watambue enzi za upigaji hazipo tena.Mtabana had mtaachia.
Sioni kabisa wakitoa sapoti ya kuwapa hongera wachezaji kwa kupambana, yaani as if hawajui kama Simba jana ilicheza, hawa watu wabaya sana kiukweli, yaani Simba kucheza kote kule hata kutoa maoni kwenye page zao huwaoni, washabiki na wanachama wamulikeni hawa watu, hawana nia njema na Simba.
Kama mapambano yataendelea hivi nna uhakika matokeo ya sare yataendelea hata kwenye mechi ya marudiano na Wydad, wanaona Simba ikifanya vzr watakosa thamani, wanataka kutuaminisha kuwa bila wao Simba haiendi ila watambue enzi za upigaji hazipo tena.Mtabana had mtaachia.