mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Nimekuwa namfuatilia Msanii Diamond juu ya upataji wa Tuzo mbalimbali kama tulivyozoea.
Ni muda sasa sijamsikia Msanii huyo kuibuka tena na Tuzo mbalimbali kama zamani je tatizo ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni muda sasa sijamsikia Msanii huyo kuibuka tena na Tuzo mbalimbali kama zamani je tatizo ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app