Tafiti ni shughuli (activity) ambazo hufanywa na wasomi wa inchi husika, na mala nyingi matokeo ya tafiti hizo ni hupelekea mabadiliko chanya katika jamii husika , mabadiliko hayo yanaweza kuwa ya kiuchumi, kisiasa ,kiutamaduni na hata kijeshi aidha tafiti huweza kulisaidia taifa kubuni sera au kutunga sheria zenye kulenga kuwaletea wanachi wake maendeleo ya haraka. Mfano tafiti za mbegu bora ili mkulima apate mazao mengi aongezee kipato na hatimae awe na maisha bora, utafiti wabreeds za ng`ombe wanaotoa maziwa mengi, tafiti za chanjo za kuzuia magonjwa ili mwanainchi atumie kipato chake kujiletea maendeleo na wala si kujitibia magonjwa n,k,. Sasa CCM imejenga mazingira ambayo wasomi wengi wameona kuwa kwenye maeneo yao hakuna tija mahala pazuri penye kujiletea maendeleo ya haraka ni kwenye siasa,hivyo basi wanaviacha vitengo vyao wanakimbilia siasa ili kupata malisho ya kijani kwa kisingizio eti wanaenda kutumia elimu zao kuwaletea wanainchi wao maendeleo wakati dhana hiyo ni kinyume kabisa, Kimsingi pale walipokimbia ndiao hasa wanawatumikia wanainchi na kuwawezesha kupata maendeleo ya haraka. SERIKALI YA CCM IMEFANYA SIASA MAHALI PA KUPATIA MASLAHI MAZURI KABISA YANAYOMFANYA MWANASIASA AISHI KAMA PEPONI WAKIONA KIPATO HAKITOSHI BAADA YA MSHAHARA WOTE KUKATWA BAADA YA KUKOPA SHANGINGI WANAAMUA KUONGEZA POSHO. Siasa inameza watafiti sasa utafiti utafanywa na nani? Matokeo yake
Sasa CHADEMA inataka kufanya kinyume chake, ina nia ya kufanya siasa kiwe kitengo ambacho kitakuwa na maslahi ya kawaida kabisa na yasiyo na faida ili watu watakao taka kuwa wanasiasa wawe na wito na kazi hiyo. Mfano wameipiga vita posho (sitting allowance) kwa nguvu zote matokeo yake kila mwenye macho ameona, na sasa juzi kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo Arumeru walitembeza bakuli ili kukiwezesha chama kufanya kampeni , kwa wenye akili nyingi kama sisi jamvini hiyo ni geresha tu nia hapa ni kuanza kuvuta kasi hatimae kuanza kuzipiga vita ruzuku za vyama ili vyama vijitegemee visingoje kodi ya wanaichi mwisho wa siku hela za ruzuku ya vyama iende moja kwa moja kuwaletea maendeleo wanainchi wao kwani ushaidi mkubwa wa kimazingira ruzuku kubwa wanayopata CCM inaishia kwa akina Mwigulu Nchemba kuhonga wanawake za watu tu.
Tuwaunge mkono CHADEMA wanaona mbali.
Great thinker unasemeje, saidia basi ARUMERU wafanye uamuzi sahihi,
- Wasomi wanakimbilia siasa watu kama Pro. Salungi, Mwakyusa Mwandosya, Msolla na wengine hawa huku kwenye siasa wameingia choo cha kike kiutumishi kwa manufaa ya wanainchi wenge ilifaa wabaki kulekule kwenye vitengo vyao,
- Wafanya biashara ambao ndio walipa kodi wakubwa nao wakajitoma kwenye siasa kupitia CCM eti wanaipenda (uwongo ) matokeo yake kwa sababu za kiufundi hawailipi serikali kodi vizuri kwa privilege ya lobbing, kodi ambayo ingeisaidia serikali kuwaletea wananchi maendeleo inapotea kwa sababu ya walipa kodi wakubwa kuwa eti wabunge, hapa nalenga watu kama Ahmed Shabib, Murji, Abood, Mohamed Dewji na wengine wataje. Mswada wa kutenganisha biashara na siasa mpaka sasa uko wapi?
- Matapeli na majizi nao wakajikita kwenye siasa kwa kupitia CCM eti wanaipenda nia wakifanya utapeli wao wawe na ka immunity Fulani hapa nalenga waliotoka FAT na kwenda kuwarubuni wanyamwezi maskini ya mungu.
Sasa CHADEMA inataka kufanya kinyume chake, ina nia ya kufanya siasa kiwe kitengo ambacho kitakuwa na maslahi ya kawaida kabisa na yasiyo na faida ili watu watakao taka kuwa wanasiasa wawe na wito na kazi hiyo. Mfano wameipiga vita posho (sitting allowance) kwa nguvu zote matokeo yake kila mwenye macho ameona, na sasa juzi kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo Arumeru walitembeza bakuli ili kukiwezesha chama kufanya kampeni , kwa wenye akili nyingi kama sisi jamvini hiyo ni geresha tu nia hapa ni kuanza kuvuta kasi hatimae kuanza kuzipiga vita ruzuku za vyama ili vyama vijitegemee visingoje kodi ya wanaichi mwisho wa siku hela za ruzuku ya vyama iende moja kwa moja kuwaletea maendeleo wanainchi wao kwani ushaidi mkubwa wa kimazingira ruzuku kubwa wanayopata CCM inaishia kwa akina Mwigulu Nchemba kuhonga wanawake za watu tu.
Tuwaunge mkono CHADEMA wanaona mbali.
Great thinker unasemeje, saidia basi ARUMERU wafanye uamuzi sahihi,