twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,793
Ni kwasababu baadhi ya watanzania wamekuwa na uroho wa madaraka na wanatumia njama za hata kuihujumu serikali arimradi watinge ikulu.watu hawa hawako vyama vya kupinga tu hata ccm na ndani ya serikali wapo.wanatumia kila hila hata kuhatarisha maisha ya kila siku ya watanzania lakini watz tunaofikiri kwa mmbongo zetu tumekataa kuwachagua kwa zaidi ya 60% of votes.