Kwanini Biashara ya Sukari inasimamiwa na Waziri wa Kilimo?

Kwahiyo hata bange anapambana nayo Waziri wa Kilimo Kwa sababu inalimwa?

Mlisomea ujinga?
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Nchini ipo chini ya Wizara ya Kilimo na sukari ni chakula....

mihemko na ghadhabu binafsi dhidi ya ukweli si muhimu, haina maana na wala haisaidii chochote...

muhimu ni kwamba wahusika wa kisekta wanashughulika na jambo hili kwa juhudi kubwa sana, bila kujali setbacks za wachache wasiopenda tusonge mbele.

Tupo viziri, tuanafanya vizuri na kwakweli tunaelekea pazuri sana....
 
ndugu,sukari inasimamiwa kwa sheria na ndio maana kuna bodi ya sukari ambayo imeundwa kwa sheria ya bunge,hivyo ni lazima isimamiwe
Kwahiyo Mchengerwa na wakuu wa mikoa nimiongoni mwa wanabodi?

Kwahiyo waziri waviwanda na biashara yeye asihusike lakini Mchengerwa ahusike?
Kwanini Chalamila awe na ujasiri mawaziri walale
Mawaziri baadhi wamekwepa au hawajaelewa wajibu wao
 
buda sukari ni zao la mua unaoota chini kwenye ardhi hence ni kilimo icho.

mua ukibadilika kuwa sukari apo ndo biashara inapoanza.

grow up
 
Hivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda?

Naandika haya kwa Uzoefu, mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari). Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa.

Swali langu ni hili. Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara?
Niliuliza hili swali humu wakaniambia yeye ndiye mhusika wa mashamba ya myua, nikauliza je waziri wa viwanda na biashara yuko wapi kwenye hili sakata, wakaniambia nikumbuke kuna Mwalimu alisimamishwa kazi na waziri wa Elimu badala ya yule wa TAMISEMI.
 
Hivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda?

Naandika haya kwa Uzoefu, mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari). Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa.

Swali langu ni hili. Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara?
Ulitaka isimamie wizara ya ujenzi kwani imekuwa rami?
Hapa suala sio wizara gani inasimamia kinachotakiwa ni sukari wasituletee porojo kama za umeme
 
Kwani hiyo miwa ikishavunwa inapelekea wapi?. Kama inapelekwa kiwandani ina maana wizara ya viwanda ndio inahusika
Wakala wa Hifadhi ya Chakula Nchini iko chini ya wizara ya kilimo katika ukamilifu wake na sio wizara ya viwanda na biashara kama amabavyo unadhani. Ni katika mgawanyo wa kawaida wa majukumu ya kisekta serikalini....
 
Hivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda?

Naandika haya kwa Uzoefu, mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari). Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa.

Swali langu ni hili. Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara?
Ndivyo sheria aliyotunga Jiwe ilitaka hivyo maana ilihamisha sukari kuwa bidhaa huria na kuwapa Haki wazalishaji ndio wawe waaagizajo na wasambazaji chini ya Wizara ya Kilimo.

Ili kuondoa huo ujinga umesikia Serikali inaenda kubadili hiyo sheria Ili iwe bidhaa huria

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1760682862905593946?t=spG6cJxrbIORg8Ci88qKdw&s=19
 
Tena waziri wa viwanda sijasikia hata kauli yake, kwa nn kama serikali isiagizie sukari yenyewe inaishia kutoa vibali Kwa wafanyabiashara. Serikali ingeagiza hata tani 500000 ili isaidie kipindi hiki
Uhitaji ni tani 720,000 ( laki saba na elfu ishirini) kwa mwaka. Kati ya hizo mahitaji kwaajiri ya matumizi ya majumbani na migahawani au mahotelini, mashuleni ni tani laki tano na elfu 55 yaani 555,000 na matumizi ya viwandani yaani sukari ya viwandani ni tani 165,000 yaani tani laki moja na sitini na tano elfu ambayo si sukari hii tunayotumia majumbani ni ile nyeupe a.k.a industrial sugar kijiko kimoja.

Sasa ili serikali iweze kuagiza sukari inabidi kutenga billion kadhaa ili kuweza kuleta at least mara tatu ya hicho kiasi ili tuwe na supply ya miaka mitatu wakati tukijadiliana kusolve hili tatizo permanently.


Kabla sijasahau, viwanda vya ndani kwa ujumla vimemudu kuweza kucontrol asilimia 50% ya hayo mahitaji ya mwaka. So it means, viwanda vya ndani vinaweza kuzalisha at least kati ya tani 300,000+ hadi 400,000+ isiyotoshelezea mahitaji, the reminder inatakiwa kuagizwa nje.

Kwa wafanya biashara wakubwa hii ni biashara kichaa iliyoghubikwa husuda, tamaa, urasimu, roho mbaya, hila, tamaa, rushwa na ukiritimba. Kitendo cha kuagiza mfanyabiashara zaidi ya m'moja bila kujua wenzako nao wameagiza ni hatari kwa mtaji kwasababu unaweza agiza nyingi ukafika mkagongana na wenzako sokoni plus zile zinazoingia kwa magendo bei ikashuka na kutafuna faida na mtaji wako plus umepoteza muda kusubiria mzigo ufikishwe sokoni.

So tunahitaji userios kwenye hili swala.
 
Wakala wa Hifadhi ya Chakula Nchini iko chini ya wizara ya kilimo katika ukamilifu wake na sio wizara ya viwanda na biashara kama amabavyo unadhani. Ni katika mgawanyo wa kawaida wa majukumu ya kisekta serikalini....
Je unadhani jambo hilo limeketa tija yoyote ?
 
buda sukari ni zao la mua unaoota chini kwenye ardhi hence ni kilimo icho.

mua ukibadilika kuwa sukari apo ndo biashara inapoanza.

grow up
Sabuni za miche nazo zinatokana na kilimo , je biashara yake nayo isimamiwe na wizara ya kilimo ?
 
Je unadhani jambo hilo limeketa tija yoyote ?
ndiyo limeleta tija na nadhani pia ni muhimu zaidi likaendelea kua chini mamalaka iliyopo chini ya wizara ya kilimo, kwasababa suala la chakula kulifanya kibiashara ni hatari kwa usalama wa chakula na Taufa kwa ujumla...

Chakula na shibe ndio Amani na Furaha ya Familia yoyote ile...
 
Mamafia yameshikilia rimoti ; yanaongoza serikali ya awamu hii.

Tusitegemee sa100 atatusaidia katka hili.

Hakuna kitakachofanyika.

Ni sisi wenyewe wananchi ndio tutakaoweza kulimaliza hili (endapo tukiamua kutoka nyuma ya keyboard zetu na kuingia mtaani nchi nzima).
Godfatherism politics!!
Tumeshikwa pabaya na Rostam na wafuasi wake!
 
Fanyeni utafiti utakunana na majibu haya,
1. Kila wizara au idara inayosimamiwa na jinsia Ile , anaye teuliwa ni mama anayeongoza ni baba ambaye hakuteuliwa

2. Kutoa maamuzi ni baba ambaye hakuteuliwa na mtekeza maamuzi ni mama aliyeteuliwa na ambaye ni magumu kuielewa au kutekeleza maamuzi Yale.

Tunakoelekea tutasimama siku Moja bila kufahami kwanini tumesimama.
Godfatherism politics!
Haya mambo ndiyo yanaitafuna Nigeria sasa!
 
Hivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda?

Naandika haya kwa Uzoefu, mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari). Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa.

Swali langu ni hili. Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara?

kiuhalisia ningekuwa mimi ndiye anayeteua ningekuwa nishafuta uteuzi muda mrefu.mpaka sukari inaadimika ina maana waziri mwenye dhamana hakuwa anajua akiba ya sukari imebaki kiasi gani? hawawezi ku predict kwamba kwa akiba hii iliyobaki hatutoboi wakaandaa mazingira rafiki ya kuagiza sukari kabla haijapanda bei? eti waziri wa kilimo wakati hasaidii taifa kulima miwa ya kutosheleza .hahhaaaaaaa. mna bahati sana aisee.nchi nyengine umeshatemwa muda mrefu
 
Back
Top Bottom