Kwanini bei ya Mafuta Isiwe Moja kama Bei ya Umeme Nchini?

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,902
945

MHE. KILUMBE NG'ENDA - AHOJI KWANINI BEI YA MAFUTA ISIWE MOJA KAMA UMEME NCHINI​

Mbunge wa Kigoma Mjini, Kilumbe Ng’enda amehoji bungeni kwa nini serikali isiwezeshe bei ya mafuta aina ya petrol, dizeli na mafuta ya taa iwe moja nchi nzima kama ilivyo kwa bei ya umeme kwa unit.

Ng’enda ametoa hoja hiyo Jumatano Mei 31, 2023 wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2023/2024, bungeni jijini Dodoma.
 

Attachments

  • maxresdefaultSDER.jpg
    maxresdefaultSDER.jpg
    68.6 KB · Views: 2
Gharama ya kupeleka mafuta Ngara italipwaje? Ukisema uweke bei ya mafuta sawa na ngara Tz nzima maana yake makampuni yatakuwa yanapambana kuuza mafuta mikoa karibu na bandari mana itakuwa na faida kubwa sana, ukisema uweke sawa na dar jua kabisa hakuna ataeenda kuuza mafuta Ngara, Simply put hio issue ni ngumu
 
Swali? Ni je? Tanzania tunazalisha hiyo product kama hapana haiwezekani na kama jibu ndio inawezekana
 
Back
Top Bottom