Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,384
- 175,004
Sahizi Dar kuna baridi dirisha ni sahihi kabisa sifungui ila ndani full pupweHayo madirisha ni malumuu kwa maeneo yenye baridi mfano arusha, moshi, iringa, na mbeya hata Rukwa,
Sasa wabongo sisi wazee wafasheniiz tumejikuta mpaka maeneo ya joto tunafunga vioo kwakua tumeamua acha twende tutafanyaje Sasa
Wale walioishi nje ya inchi na ndani ya nchi maeneo yenye baridi watakuwa mashahidi maeneo ya baridi dirisha la kioo ndio mahala pake ili baridi isingie ndani
Hii sawa ya ujenzi wa nyumba
Mfano dar es salaam wangapi mmeona nyumba za matofari ya kuchoma kwa sababu ipi hakuna ni kutokana na upatikanaji wa udongo wa kufuatilia hizo tofari ni adimu sana, tofauti na Rukwa, iringa, songea na mbeya uko ndio penyewe kwa tofari za kuchoma maana udongo upo na unafaa
Sasa ni ajabu uende eneo ambalo mchanga mwingi unakomaa na kutafuta tofari za kuchoma badala ya block