Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Wanandoa wameoana na wamefanikiwa kuwa na watoto wote wa kiume ama watoto wote wa kike. Inatokea kwamba wanandoa kuona familia yao hajakamilika pasipokuwa na watoto wa jinsia tofauti yaani wa kike na wa kiume. Na huendelea kuzaa pasipo mafanikio na kujikuta na lundo la watoto na wanazidiwa uwezo wa kuwatunza. SWALI: Je ni lazima kuwa na watoto wa jinsia tofauti kwenye familia? ama si lazima?