By Mungi Anayedai fulani ni mtoto wa mama, inabidi afafanue kutujuza kuwa yeye siyo mtoto wa mama. Ina maana abba yake alilala na ng'ombe akamzaa yeye. Hata hivyo itabidi bado ataitwa mtoto wa mama japo amezaliwa na ng'ombe. Baba hawezi kuzaa bila mama, kadhalika mama hawezi kuzaa bila baba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.