ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
nitoke vipii
Mi pia nakereka kinoma!! kwa kua naona wa2 hawakereki ngoja na miye niweke yangu kama ile ya mac regani kipara.
POPOOOOO!!
nitoke vipii
watu wengne wa ajab. hua unakufa?
Ndani ya Jay Efuuuuu!!!!bwana misosi sasa naimba NITOKE VIP
siku nyingi najiulizaaaa
endelea.....
Mgovi wewe,Mxbwana misosi sasa naimba NITOKE VIP
siku nyingi najiulizaaaa
endelea.....
Hivi binadamu wa kawaida unapata wapi muda??kuandika ulichokiandika na mwisho ukakumbuka kuweka neno,MIA,MX,NALOG OFF!!Kwa ninavyojua siyo kwamba umetengeneza kama sign yako bali nilazima uandike kila unapoposit bandiko lolote!!Je hamuoni usumbufu??Kazi mnayo labda ni barehe mtaacha!mkikua!
Umesomeka kaka,MxKakaKiiza ni hivi kila mtu anatafuta heshima jukwaani u kutambulika kirahisi jukwaani kwa upekee na siyo uniformity. Assume watu wasingekuwa na kuweka avator katika ID zao bila ya shaka ingebore kidogo.
Hivyo ni swaga tu wala usikuchanganye na kuwaona hawana la kufanya au wana muda wa kutosha kila anapo post kuweka mia, nalog off n.k
Siyo hilo tu naomba hata hizi ID zetu zenye majina ya ajabu ajabu nazo uzichukulie kama namna ya pekee ya kujitofautisha na hatimaye kugain simple populality.
Nikuope mfano hebu mtu ajiite K.U.M.A au M.B.O kama ID yake nadhani italalamikiwa sana na watu na kwa muda mchache ambao ID haitaadilshwa atakuwa popular kwa kufanya kile wengine wasichokiweza kukufinya kwa sababu mbali mbali ustaarabu ukiwemo.
Hivi binadamu wa kawaida unapata wapi muda??kuandika ulichokiandika na mwisho ukakumbuka kuweka neno,MIA,MX,NALOG OFF!!Kwa ninavyojua siyo kwamba umetengeneza kama sign yako bali nilazima uandike kila unapoposit bandiko lolote!!Je hamuoni usumbufu??Kazi mnayo labda ni barehe mtaacha!mkikua!
Hivi binadamu wa kawaida unapata wapi muda??kuandika ulichokiandika na mwisho ukakumbuka kuweka neno,MIA,MX,NALOG OFF!!Kwa ninavyojua siyo kwamba umetengeneza kama sign yako bali nilazima uandike kila unapoposit bandiko lolote!!Je hamuoni usumbufu??Kazi mnayo labda ni barehe mtaacha!mkikua!
tusibiri waje watoe majibu! hope wanamaana yao!
Jamani mzee wa kulog off nimemmis kweli