Halafu km kitu kinakukera dawa yake ni kukipotezea tu then hapo utakuwa na amani kuliko kukifuatilia sanaaaaa
Hapana DA nikweli vitu vingine nikero!
Yeah ilike your comment on this topic!mtizamo wangu usikukere wewe as longer nimefikisha ujumbe wangu kwenye jukwaa husika!ukiona haikuhusu pita nanjia zako maadamu ujumbe nimefikisha nakama muhusika ukae ukijua kunawatu wanakeleka na vitu kama hizo!!Mfano mdogo ni kwa wafuga rasta kuna watu kwa mitazamo chanya wanajua wote wenye lasita ni wahuni wa kijiweni!wavuta bangi ,etc.Oder plz my fellow Jf Membars ! That's a minor issue ! For all means sisi tupo hapa kijijini Jf our population is abt 60,000.
Hatuwezi tukafanana mienendo, mitazamo, silka e.t.c
Kikubwa tuvumiliane, haitakua rahisi sana linalowakera baadhi ya membars na hilohilo likawa linapendwa na baadhi ya membars likatunyima usingizi.
Niwaache kwa nasaha kua issue ndogo kama hii ni vumilianeni.