SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Anaitwa Sauda Mwilima na anaendesha kipindi cha Bongo Beats. Kila atangazapo lazima atumie maneno haya, hata tarehe 21/9/2013 alipotangaza Red Carpet ya Redd's Miss Tanzania aling'ang'ania hayo maneno yake ya kuchosha yasiyo na ladha! Utamsikia:
..... ili mradi basi........kwa njia moja au nyingine...........mwisho wa siku..........kuweza........
Dada, kila nikikusikiliza nachoka sana. Kwa nini hutumii ubunifu wa lugha ili uje na misemo tofauti ya kuburudisha? Kila siku ili mradi basi...... mwisho wa siku....
Badilika bwana!
Nakutakia kila la kheri dadaangu!
..... ili mradi basi........kwa njia moja au nyingine...........mwisho wa siku..........kuweza........
Dada, kila nikikusikiliza nachoka sana. Kwa nini hutumii ubunifu wa lugha ili uje na misemo tofauti ya kuburudisha? Kila siku ili mradi basi...... mwisho wa siku....
Badilika bwana!
Nakutakia kila la kheri dadaangu!