Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Kama sikosei Campain Manager wa chaguzi ndogo za Majimbo ya Meru na Igunga kwa chama cha mapinduzi alikuwa Mchumi Nambari wanu wa Dunia Bw. Mwigulu Mchemba. Je, kwa hali ilivyotokea katika majimbo yote, una chochote ulichojifunza unachoweza kutushirikisha?