Zakumi,
Mkuu sijazunguka na ndio maana hukunielewa kabisa...
China na Marekani pamoja na kwamba zote zina mifumo tofauti ya kiuchumi lakini viongozi wake wote wapo ku serve the nation. Wanataka maendeleo ya nchi yao.. adui wa Maendeleo yao yuko nje, wakati Tanzania Viongozi wetu wanataka kuboresha maisha yao wenyewe...Hivyo adui wetu yuko ndani..Yes wanachukua 10% lakini hiyo 90 unayozungumzia itabaki nchini? au hukumsoma Nnauye!..
China na Marekani 90 inabakia ndani na kuzungusha - Tanzania hiyo 90 inakwenda nje!.
Na sio kweli kwamba hawafahamu kinachotokea nchi za China na Marekani isipokuwa tatizo ni
Mkuu sijazunguka na ndio maana hukunielewa kabisa...
China na Marekani pamoja na kwamba zote zina mifumo tofauti ya kiuchumi lakini viongozi wake wote wapo ku serve the nation. Wanataka maendeleo ya nchi yao.. adui wa Maendeleo yao yuko nje, wakati Tanzania Viongozi wetu wanataka kuboresha maisha yao wenyewe...Hivyo adui wetu yuko ndani..Yes wanachukua 10% lakini hiyo 90 unayozungumzia itabaki nchini? au hukumsoma Nnauye!..
China na Marekani 90 inabakia ndani na kuzungusha - Tanzania hiyo 90 inakwenda nje!.
Na sio kweli kwamba hawafahamu kinachotokea nchi za China na Marekani isipokuwa tatizo ni