Kwa wote tunaopinga mgomo wa madaktari

Umeanzisha kitu kizuri mkuu na umetoa hoja nzuri tu. Ila sijaridhishwa na heading yako. Ni vema ungekaribisha hata wale wale wanaounga mkono huu mgomo ili uweze kuzipima hoja zako dhidi ya wale wanaounga. Binafsi siungi mkono kwa sababu
1. Hii sekta hawatakiwi kugoma kwa mujibu wa sheria kama ilivyo sekta ya maji
2. Mahakama imezuia. Kama nchi yoyote ile lazima kuwe na ORDER ili mambo yaende
3. Kima cha mshahara cha 3m ni kikubwa kwa nchi maskini kama tz. Hoja ya kwamba wabunge wanalipwa hivi, mara vile haitoshi kuwa kigezo. Mazingira magumu ya kazi ni katika sekta nyingi sana. Walimu, polisi n.k.
Mimi nawachukulia kama wahaini na serikali katika hili inyooshe makucha ili watu waheshimu mamlaka
Jamani mie hio sheria za kazi ninazo hapa na hakuna mahali ilipoandikwa kuwa MADAKTARI au KADA YA AFYA HAWARUHUSIWI KUGOMA ila imeandikwa HUDUMA ZA AFYA za DHARURA ndio hawataruhusiwa kugoma!
Sasa hapa naomba tusipotoshane kama mnataka kujenga!! Hata PINDA NA MWINYI nao wamejaribu kupingisha ukweli kama mnavyofanya nyie. Tusiwe DHAIFU hadi kujenga hoja!
Madaktari wana haki ya kudai maslahi yao na tangu wadai siku zaidi ya 90 zimepita na Mahakama haina ubavu wa kufanya lolote kwani haiwezi kuforce daktari kutibu.
Hilo la uhaini hakuna sheria yoyote inayomlabel mtu aliyegoma kuwa MHAINI labda Muitunge leo!!!
Na kwa jinsi mlivyo DHAIFU sidhani kama hili litawezekana!!!!
 
Nilidhani ni kwa sisi tunaopinga sasa mnaounga mkono jamani si kuna uzi mwingine juu ya jambo hili?? Na mimi nagoma kuchangia hadi muondoke humu mtuachie ambao tunapinga.
 
nimekuelewa sana,

kumbuka serikali inamakosa kwa nini madaktari wabebe mzigo wa serikali? wewe unauliza kuwa serikali inamakosa au hu?

unadhani wenye hali ngumu kimaisha watapambana na daktari au serikali au wewe na mimi. hakuna jibu. walipe wawalipe na wakada zingine waache kula maisha wenyewe, mnajua nchii hii imeshikwa na viongozi, watoto wao, na matajiri kuna haja gani kuhojihoji hapo
 
Nilidhani ni kwa sisi tunaopinga sasa mnaounga mkono jamani si kuna uzi mwingine juu ya jambo hili?? Na mimi nagoma kuchangia hadi muondoke humu mtuachie ambao tunapinga.

ulianzisha uzi ule ili ujifiche huku, hapakuja kutosha siku ya hukumu, aliejuu atafwatwa hukohuko
 
Umeanzisha kitu kizuri mkuu na umetoa hoja nzuri tu. Ila sijaridhishwa na heading yako. Ni vema ungekaribisha hata wale wale wanaounga mkono huu mgomo ili uweze kuzipima hoja zako dhidi ya wale wanaounga. Binafsi siungi mkono kwa sababu
1. Hii sekta hawatakiwi kugoma kwa mujibu wa sheria kama ilivyo sekta ya maji
2. Mahakama imezuia. Kama nchi yoyote ile lazima kuwe na ORDER ili mambo yaende
3. Kima cha mshahara cha 3m ni kikubwa kwa nchi maskini kama tz. Hoja ya kwamba wabunge wanalipwa hivi, mara vile haitoshi kuwa kigezo. Mazingira magumu ya kazi ni katika sekta nyingi sana. Walimu, polisi n.k.
Mimi nawachukulia kama wahaini na serikali katika hili inyooshe makucha ili watu waheshimu mamlaka
Nashukuru umenielewa.
Naomba upitie michango yote kwa umakini na utagundua udhaifu mkubwa kwa Watanzania.
Kwanza nimeanzisha thread kwa wanaopinga migomo lakini pro mgomo wameingia na hawa ni wale ambao hata instructions katika mitihani hawasomi.
Jambo la pili ni kuwa watu wanaamini ya kuwa ukuiacha watu wafe,watu wataichukia CCM na serikali itaanguka,hilo linaweza kuwa kweli kwingine lakini si Tanzania.Tumeshuhudia watu wakiuza kitambulisho cha kupigia kura kwa shilling elfu mbili tu.
Tatu ni kuwa tuna generation ambayo ni egocentric na myopic.Watu wanaamini ya kuwa watakaoumia hawamhusu,this is very unfortunate.
Tuna madaktari ambao hawana moral na ethical principles na pia hawana ujasiri kwani kesho wakiitwa Ikulu watakwenda na wakitoka hapo watatangaza wenyewe kuwa tumefuta mgomo.
Tayari mmeshailegeza serikali basi acheni vitisho nendeni mkaongee mkiwa na hoja na ushahidi wa maneno yao nasi tutakuwa nyuma yenu.
Siku njema kwa wachangiaji woteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kuna usemi unasema kuwa anayevaa kiatu ndo anaejua kama kinambana au la. Kwa taarifa yako, watu wengi tu wanakufa kila siku mahospitalini hata kama madaktari tuko kazini kwa sababu ya kukosekana madawa na vifaa muhimu kwa ajili ya tiba. Madaktari wa Tanzania tumeshazoea kuona watu wanakufa kila siku, it happens a lot, na sio kwa sababu hatuna utaalamu au ujuzi wa kuokoa maisha ya watu, la hasha. Mtu anakufia mikononi simply because hakuna adrenaline, a very affordable and cheap but necessary rescusitation drug. Juzi tu hapa hospitali ya taifa ya muhimbili iliishiwa urine bags for days....... just imagine the so called hospitali ya taifa inaishiwa urine bags, na inabidi ile mirija ya mkojo(catheters) iunganishwe kwenye gloves!!!!!!
Watu tumeshapiga surgeries kwa kutumia simu za tochi,in the worst environment ever, nimeshawahi kushuhudia wagonjwa wanakufa ICU kwa sababu tu kulikuwa hakuna mitungi ya oksijeni to sustain their lives. Anyways...... my point hakuna daktari wa bongo anaetetemeka kwa kauli za "mama zetu na baba zetu watakufa kwa kukosa huduma zenu kipindi cha mgomo" because they die anyway whether tumegoma or not kutokana na ukweli kuwa serikali imeipuuza sana sekta ya afya....... TUNATAKA TUTOKE HUKO KWA GHARAMA YEYOTE ILE!!!!!

Dr "nimeipenda" hio kauli HAKUNA DAKTARI BONGO ANAETETEMEKA KWA KAULI ZETU MAMA ZETU WANAKUFA....may it just shows who u(tz doctors) are!
 
Kuna usemi unasema kuwa anayevaa kiatu ndo anaejua kama kinambana au la. Kwa taarifa yako, watu wengi tu wanakufa kila siku mahospitalini hata kama madaktari tuko kazini kwa sababu ya kukosekana madawa na vifaa muhimu kwa ajili ya tiba. Madaktari wa Tanzania tumeshazoea kuona watu wanakufa kila siku, it happens a lot, na sio kwa sababu hatuna utaalamu au ujuzi wa kuokoa maisha ya watu, la hasha. Mtu anakufia mikononi simply because hakuna adrenaline, a very affordable and cheap but necessary rescusitation drug. Juzi tu hapa hospitali ya taifa ya muhimbili iliishiwa urine bags for days....... just imagine the so called hospitali ya taifa inaishiwa urine bags, na inabidi ile mirija ya mkojo(catheters) iunganishwe kwenye gloves!!!!!!
Watu tumeshapiga surgeries kwa kutumia simu za tochi,in the worst environment ever, nimeshawahi kushuhudia wagonjwa wanakufa ICU kwa sababu tu kulikuwa hakuna mitungi ya oksijeni to sustain their lives. Anyways...... my point hakuna daktari wa bongo anaetetemeka kwa kauli za "mama zetu na baba zetu watakufa kwa kukosa huduma zenu kipindi cha mgomo" because they die anyway whether tumegoma or not kutokana na ukweli kuwa serikali imeipuuza sana sekta ya afya....... TUNATAKA TUTOKE HUKO KWA GHARAMA YEYOTE ILE!!!!!

Dr "nimeipenda" hio kauli HAKUNA DAKTARI BONGO ANAETETEMEKA KWA KAULI ZETU MAMA ZETU WANAKUFA....may b it just shows who u(tz doctors) are!
 
Dr "nimeipenda" hio kauli HAKUNA DAKTARI BONGO ANAETETEMEKA KWA KAULI ZETU MAMA ZETU WANAKUFA....may it just shows who u(tz doctors) are!
Tumefanywa kuwa sugu kutokana na mazingira magumu ya kazi........... trust me, ungekuwa ni dokta ungenielewa, hakuna kitu kinachoumiza kama mgonjwa kukata roho mikononi mwako kwa sababu hamna adrenaline na wakati ulikuwa na uwezo wa kuokoa maisha yake!!! hatutaki vizazi vijavyo vya madokta wa tz wawe kama sisi thats why tunalia kila siku hali ibadilike
 
Naomba niandike kwa upole mkubwa.Yote unayosema ni ya kweli lakini ninakumba usome thread hii kwa makini.Nimeeleza ya kuwa serikali imetikisika na ni kwa advantage ya madaktari kwani tayariwan upper hand katika jambo hili.Hoja yangu kuu ni kuwa waitumie fursa hii vizuri,wa retreat,wajadialiane ili waweze kupata wanchohitaji.
Jambo la pili ni kuhusu watu tunavyoyachukulia mambo kirahisi.Hebu fikiria mwanao mpenzi anaumwa hoi na madaktari wamegoma muhimbili wapo canteen wankunywa chai,soda na wanajadiliana,je utakwenda kuwapa offer?Tuwe realistic ndugu zanguni ni maskini ndo wanaoumia zaidi na tusijiweke katika mazingira ya kuwa sisi ni indispensable.
mgomo ulopita nimempoteza ndugu na na rafiki ya ngu wa karibu alikatwa mguu kwa kuchelewa kuutibu kwani ma dr walikuwa ktk mgomo hivyo hadi wanarejea mguu ulikwisha oza! Lawama na laana zooote nazielekeza selikalini!. Tusiogope garama za mabadiliko chanya, mimi kama mgonwa mtarajiwa naweza pia kufa kipindi cha mgomo, nawaunga mkono madaktari ktk migomo yao labda selikali hii puuzi inaweza kujirekebisha.
 
Eti wanasubiri mpaka watangaze migomo ndo wanakumbuka mazungumzo! Ovyooo kabisa
 
Jamani mie hio sheria za kazi ninazo hapa na hakuna mahali ilipoandikwa kuwa MADAKTARI au KADA YA AFYA HAWARUHUSIWI KUGOMA ila imeandikwa HUDUMA ZA AFYA za DHARURA ndio hawataruhusiwa kugoma!
Sasa hapa naomba tusipotoshane kama mnataka kujenga!! Hata PINDA NA MWINYI nao wamejaribu kupingisha ukweli kama mnavyofanya nyie. Tusiwe DHAIFU hadi kujenga hoja!
Madaktari wana haki ya kudai maslahi yao na tangu wadai siku zaidi ya 90 zimepita na Mahakama haina ubavu wa kufanya lolote kwani haiwezi kuforce daktari kutibu.
Hilo la uhaini hakuna sheria yoyote inayomlabel mtu aliyegoma kuwa MHAINI labda Muitunge leo!!!
Na kwa jinsi mlivyo DHAIFU sidhani kama hili litawezekana!!!!

Hivi kwanini mahakama haijatoa amri serikali itekeleze ahadi zake ili kuzuia vifo visivyo na sababu au vinavyoweza kuepukika??? Uhuru wa mahakama utaonekana je??
 
Madai yote ya madaktari nayaona ya msingi isipokuwa hili la mshahara milioni 3.5!!

Na mimi nina mtizamo kama wako mkuu, unajua hata ukiangalia mishahara yao, tayari kuna significant increase tangu walipoanza kulalamika na jamii ikawasapoti. Shida ni kwamba sasa hivi wanaonekana too demanding, not considerate, and self-fish machoni mwa jamii. Yaani wanataka kuonyesho kwamba utaalamu wao ndo wa maana kuliko taaluma zingine zote, wakati ukweli ni kwamba taaluma zote zinategemeana.
 
hujasikia ma bilions yanaliwa kiwira?madaktari wakiboreshewa ndio mwanzo wa kuboreshewa wafanyakazi wa fani zingine
Unachangya habari mkuu, huwezi kutafuta maslahi kwa kutoa roho za masikini wasio n hatia. Mumuogope Mungu. Je mukipata hayo munayotaka mtarudisha roho za watu waliopotea?
 
Tumefanywa kuwa sugu kutokana na mazingira magumu ya kazi........... trust me, ungekuwa ni dokta ungenielewa, hakuna kitu kinachoumiza kama mgonjwa kukata roho mikononi mwako kwa sababu hamna adrenaline na wakati ulikuwa na uwezo wa kuokoa maisha yake!!! hatutaki vizazi vijavyo vya madokta wa tz wawe kama sisi thats why tunalia kila siku hali ibadilike
Kwa hiyo kuliko mgonjwa afe kwa kukosa adrenaline ni bora umuue kabla? Acheni hizo
 
Back
Top Bottom