sio daktari huyo mamluki tuuuuukumbe we mwanajeshi. Siku zote mtu akiingia jeshini huwa anaacha akili zake getini zinaendelea kuoza. Hivi unadhani bajeti anayopelekewa marina inatosha kununua ct? Mbona umesahau kwamba hospitali za wilaya zinaagiza dawa msd miezi sita bila kuletewa? Siku zote mkishakuwa kwenye neema huwa mnasahau wenye shida. Hivi hayo mazungumzo yanawezekana leo na walikuwa na miezi mitatu? Kwa nini waje kuanza kuomba mazungumzo dakika za mwisho? Huu ni utani na udhaifu ambao hatutaki wauendeleze.
Umeanzisha kitu kizuri mkuu na umetoa hoja nzuri tu. Ila sijaridhishwa na heading yako. Ni vema ungekaribisha hata wale wale wanaounga mkono huu mgomo ili uweze kuzipima hoja zako dhidi ya wale wanaounga. Binafsi siungi mkono kwa sababu
1. Hii sekta hawatakiwi kugoma kwa mujibu wa sheria kama ilivyo sekta ya maji
2. Mahakama imezuia. Kama nchi yoyote ile lazima kuwe na ORDER ili mambo yaende
3. Kima cha mshahara cha 3m ni kikubwa kwa nchi maskini kama tz. Hoja ya kwamba wabunge wanalipwa hivi, mara vile haitoshi kuwa kigezo. Mazingira magumu ya kazi ni katika sekta nyingi sana. Walimu, polisi n.k.
Mimi nawachukulia kama wahaini na serikali katika hili inyooshe makucha ili watu waheshimu mamlaka
Two mistakes will never make one right.Unapunjwa mshahara halafu unaua watu na unajisifu kabisa.sio daktari huyo mamluki tuuuuu
Na wao wagome kama wana umoja walionao madaktari, hii nchi haiheshimu kabisa kazi za taaaluma, siungi mkono hoja yako wala hoja ya muanzisha uzi.Umeanzisha kitu kizuri mkuu na umetoa hoja nzuri tu. Ila sijaridhishwa na heading yako. Ni vema ungekaribisha hata wale wale wanaounga mkono huu mgomo ili uweze kuzipima hoja zako dhidi ya wale wanaounga. Binafsi siungi mkono kwa sababu
1. Hii sekta hawatakiwi kugoma kwa mujibu wa sheria kama ilivyo sekta ya maji
2. Mahakama imezuia. Kama nchi yoyote ile lazima kuwe na ORDER ili mambo yaende
3. Kima cha mshahara cha 3m ni kikubwa kwa nchi maskini kama tz. Hoja ya kwamba wabunge wanalipwa hivi, mara vile haitoshi kuwa kigezo. Mazingira magumu ya kazi ni katika sekta nyingi sana. Walimu, polisi n.k.
Mimi nawachukulia kama wahaini na serikali katika hili inyooshe makucha ili watu waheshimu mamlaka
Hebu fafanua hapo kwenye red, kama hakuna dawa daktari atampa nini mgonjwa apone hata kama utaalamu anao, mgonjwa anahitaji oxygen daktari atampulizia pumzi yake, daktari na utaalamu wake kuna vitu ambavyo hawezi kugundua mpaka afanye vipimo, kama reagents za kufanyia vipimo hakuna, anafanyaje kazi.Kwa mtazamo wako Daktari, ni kheri mtu akate roho usipokuwepo kuliko akikata roho ukiwepo? Hii ndiyo itakuwa nafuu yako? Huoni kuwa ukiwepo kuna jambo unaloweza kulifanya kuokoa maisha ya mtu. Kuna wakati daktari anaweza kuokoa maisha ya mtu hata bila kutumia kifaa chochote bali utaalam wake tu.
hata kum position mgonjwa kunaweza kuokoa maisha yake achilia mbali maarifa mengine mengi tu.Unataka kuonyesha ya kuwa aliyeandika haelewi kitu lakini si kweli.Hebu fafanua hapo kwenye red, kama hakuna dawa daktari atampa nini mgonjwa apone hata kama utaalamu anao, mgonjwa anahitaji oxygen daktari atampulizia pumzi yake, daktari na utaalamu wake kuna vitu ambavyo hawezi kugundua mpaka afanye vipimo, kama reagents za kufanyia vipimo hakuna, anafanyaje kazi.
Naomba muache ushabiki na kuangalia reality, juzi nilikuwa kwenye hospitali moja ya wilaya, mgonjwa amekuja anataka kujifungua, hana gloves na hospitali hazipo kwa kuwa pesa hakuna, nurses wakabaki wanamuangalia wafanye nn, wewe ungetaka wamsaidie kwa mikono ili wao wapate ukimwi na hepatitis B. Hakuna mtu anaweza kuhatarisha uhai wake kwa uzembe na kutojali kwa serikali yako inayoongozwa na viongozi DHAIFU
vyote kwa pamoja, hivi kwa nini huamini kwamba hata gloves zinakosekana kwenye hospitali za wilaya? Ni lini ulifika huko, mgonjwa anaeumwa nini ukimpozisheni anapona, positioning itafungua njia ya hewa tu, lakini kama tatizo la msingi halijatatuliwa atakufa tu baada ya muda mfupi wa kupumuahata kum position mgonjwa kunaweza kuokoa maisha yake achilia mbali maarifa mengine mengi tu.unataka kuonyesha ya kuwa aliyeandika haelewi kitu lakini si kweli.
Hospitali ya wilaya iliyokosa gloves kaangalie dmo ni nani na mo in charge ni nani na pia katafute matumizi ya basket na revolving funds na utajua ni nani anayesababisha vifaa vikosekane.
Tatizo la sasa ni kuwa hata diagnosis ya ectopic preganacy mpaka ulta sound na kama ultra sound ni mbovu mgonjwa.
Hitimisho,kuweni wazi mnapigania maslahi yenu au vitendea kazi?mkipewa vifaa bila nyongeza mtarudi kazini?
Nashukuru umenielewa.
Naomba upitie michango yote kwa umakini na utagundua udhaifu mkubwa kwa Watanzania.
Kwanza nimeanzisha thread kwa wanaopinga migomo lakini pro mgomo wameingia na hawa ni wale ambao hata instructions katika mitihani hawasomi.
Jambo la pili ni kuwa watu wanaamini ya kuwa ukuiacha watu wafe,watu wataichukia CCM na serikali itaanguka,hilo linaweza kuwa kweli kwingine lakini si Tanzania.Tumeshuhudia watu wakiuza kitambulisho cha kupigia kura kwa shilling elfu mbili tu.
Tatu ni kuwa tuna generation ambayo ni egocentric na myopic.Watu wanaamini ya kuwa watakaoumia hawamhusu,this is very unfortunate.
Tuna madaktari ambao hawana moral na ethical principles na pia hawana ujasiri kwani kesho wakiitwa Ikulu watakwenda na wakitoka hapo watatangaza wenyewe kuwa tumefuta mgomo.
Tayari mmeshailegeza serikali basi acheni vitisho nendeni mkaongee mkiwa na hoja na ushahidi wa maneno yao nasi tutakuwa nyuma yenu.
Siku njema kwa wachangiaji woteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mimi nitawashangaa sana mkirudi nyuma. Mgomo wenu waweza kuonyesha njia ya ukombozi si kwa madaktari tu, bali watanzania wote. Mleta mada anasema tuogope siku mtu wa chini akiamua kuchukua hatua. Mimi nasema kama mgomo huu unaweza kumchocheaa huyo mtu wa chini hadi kuamua kuchukua hatua, kazeni buti. Tungekuwa na huduma za afya tusingewasikia kila siku wakipishana kwenye corridor za mahospitali India. Mabadiko tunayahitaji sote si nyie madaktari tu. You have the support of every patriot.Tumefanywa kuwa sugu kutokana na mazingira magumu ya kazi........... trust me, ungekuwa ni dokta ungenielewa, hakuna kitu kinachoumiza kama mgonjwa kukata roho mikononi mwako kwa sababu hamna adrenaline na wakati ulikuwa na uwezo wa kuokoa maisha yake!!! hatutaki vizazi vijavyo vya madokta wa tz wawe kama sisi thats why tunalia kila siku hali ibadilike
Tumefanywa kuwa sugu kutokana na mazingira magumu ya kazi........... trust me, ungekuwa ni dokta ungenielewa, hakuna kitu kinachoumiza kama mgonjwa kukata roho mikononi mwako kwa sababu hamna adrenaline na wakati ulikuwa na uwezo wa kuokoa maisha yake!!! hatutaki vizazi vijavyo vya madokta wa tz wawe kama sisi thats why tunalia kila siku hali ibadilike
zomba
Kwa sababu kazi yao haiwaruhusu kugoma kisheria. Na mahakama imetoa ufafanuzi.
Kama wanaona kazi hiyo haina manufaa watafute kazi zingine za kufan