Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Je ni vipi tunaweza kuwashauri wale Wanaotarajia kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010?
Watumie Mbinu na Mikakati gani? Wale wenye maoni ya kujenga tunaweza kuyatoa hapa . . . . .
Binafsi, namalizia kuandika article yenye mbinu na mikakati ya kushinda uchaguzi 2010 bila kutumia pesa nyingi wala ufisadi wa namna yeyote.
Ambaye yuko serious kujua zaidi anaweza akani-PM. Haaa haaa . . . . siyo biashara bandugu!
Watumie Mbinu na Mikakati gani? Wale wenye maoni ya kujenga tunaweza kuyatoa hapa . . . . .
Binafsi, namalizia kuandika article yenye mbinu na mikakati ya kushinda uchaguzi 2010 bila kutumia pesa nyingi wala ufisadi wa namna yeyote.
Ambaye yuko serious kujua zaidi anaweza akani-PM. Haaa haaa . . . . siyo biashara bandugu!