Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Wana jf mimi nikijana mwenye umri wa miaka 19 nimeshindwa kuendelea na masomo yangu ya sekondari toka mwaka jana kwa sababu ya uduni wa maisha katika familia yetu, nahitaji sana kusoma lakini sina namna, nimekomea kidato cha kwanza ila nilijaribu kufanya vibarua lakini jitihada zangu zimeshindwa kuzaa matunda, mwenye kujali, kuguswa, huruma na hli plz naomba anisaidie katika hli ukinisaidia mimi hakika umemsaidia mtoto wako, mdogo wako au vingnevyo
Ahsanteni kwa ushikamano wenu.
Ahsanteni kwa ushikamano wenu.