Salaam wana jamii forums kwa majina naitwa Khalid Munir mkazi wa Dar mwenye umri wa miaka 31.
Elimu yangu ni kidato cha 3 sikufanikiwa kumaliza Elimu sababu ya maradhi.
Nimekuja ktk jukwaa hili kuomba msaada mnamo mwaka 2020 nilipokea mgeni toka Sudan kupitia rafiki yangu mtu huyu alikuja tafuta fursa ya kibiashara nilimuonesha na kabla ya kuondoka niliwashauri tusajili kampuni wakakubali kwa makubaliano ya kuwa mimi nasajil kampuni wao wataweka pesa ya mtaji.
Baada ya hapo waliondoka na mimi nikaendelea na mchakato nlipomaliza niliwajuza na Msudan aliniuliza nini nahitaji kufanya nkamwambia biashara ya vitambaa alinitumia sample na price ila biashara ili shindikana aliponihitaji nitoe 30'/.
Kama mchango baada ya hapo aliniunga na kampuni kubwa toka Turkey inayo jihusisha Power plants, Refinery, Solution technology, Prefabricated house and steel structure, kazi zote za ujenzi na Vifaa vyote vya ulinzi na usalama nimekuwa nazungumza nao toka 2021 mpaka sasa hatujafikia muafaka ila baada ya muda alinipa taarifa za watu tofauti.
Wapo walohitaji kuwekeza katika madawa ya binadam, mafuta ya kula na petrol vipodozi nk na mwaka huu mwez June aliniunga na mtu alikuwa anahitaj kununua madini ya Gold na copper cathode zaidi ya 80 tani gold ikiwa 36 tons na 45 ya copper huyu mtu alikuwa seriously alifika mpaka hapa Tanzania ila bahati mbaya biashara ili shindikana.
Baada ya jambo hili jamaa yangu msudan alinambia kaunda group la wafanya biashara na wako tayar kushiriki nasi kufanya biashara ila swala hili lime fail pia na hivi karibuni aliniunga na watu 2 mmoja anahitaji soko la mbolea mwingine anahitaj kununua maembe nanasi na Avocado kontena 10-15.
Kwa kila matunda kwa mwezi ndani ya mwaka kazi hizi pia zimeshindikana na sababu kubwa ya kushindwa sina pesa ya mtaji nimezunguka sehem tofauti mpaka ktk taasisi za serikali lakini jitihada zangu zimefeli nilihitaj kufika mpaka ikulu kwenda muona mh Rais ila sikupewa ushirikiano zaid ya kukatishwa tamaa.
Nilijaribu kumpigia simu wazir Ashatu kijaji alinambia natakiwa nianzishe biashara ndo naweza saidiwa au niingie ktk kundi la watu 5 ili kupatiwa mtaji mambo yame kuwa ni mengi sana.
Nimekuja hapa katika jukwaa kuomba msaada kama kuna yeyote anaweza nisaidia akawekeza katika kampuni yangu au kama kuna shirika lolote linaweza kuguswa na jambo langu wakanisaidia kutimiza malengo yangu kwani nahitaji kuwa mfanyabiashara mkubwa na lengo ni kushirikiana na serikali ktk kuliletea taifa na jamii maendeleo.
Elimu yangu ni kidato cha 3 sikufanikiwa kumaliza Elimu sababu ya maradhi.
Nimekuja ktk jukwaa hili kuomba msaada mnamo mwaka 2020 nilipokea mgeni toka Sudan kupitia rafiki yangu mtu huyu alikuja tafuta fursa ya kibiashara nilimuonesha na kabla ya kuondoka niliwashauri tusajili kampuni wakakubali kwa makubaliano ya kuwa mimi nasajil kampuni wao wataweka pesa ya mtaji.
Baada ya hapo waliondoka na mimi nikaendelea na mchakato nlipomaliza niliwajuza na Msudan aliniuliza nini nahitaji kufanya nkamwambia biashara ya vitambaa alinitumia sample na price ila biashara ili shindikana aliponihitaji nitoe 30'/.
Kama mchango baada ya hapo aliniunga na kampuni kubwa toka Turkey inayo jihusisha Power plants, Refinery, Solution technology, Prefabricated house and steel structure, kazi zote za ujenzi na Vifaa vyote vya ulinzi na usalama nimekuwa nazungumza nao toka 2021 mpaka sasa hatujafikia muafaka ila baada ya muda alinipa taarifa za watu tofauti.
Wapo walohitaji kuwekeza katika madawa ya binadam, mafuta ya kula na petrol vipodozi nk na mwaka huu mwez June aliniunga na mtu alikuwa anahitaj kununua madini ya Gold na copper cathode zaidi ya 80 tani gold ikiwa 36 tons na 45 ya copper huyu mtu alikuwa seriously alifika mpaka hapa Tanzania ila bahati mbaya biashara ili shindikana.
Baada ya jambo hili jamaa yangu msudan alinambia kaunda group la wafanya biashara na wako tayar kushiriki nasi kufanya biashara ila swala hili lime fail pia na hivi karibuni aliniunga na watu 2 mmoja anahitaji soko la mbolea mwingine anahitaj kununua maembe nanasi na Avocado kontena 10-15.
Kwa kila matunda kwa mwezi ndani ya mwaka kazi hizi pia zimeshindikana na sababu kubwa ya kushindwa sina pesa ya mtaji nimezunguka sehem tofauti mpaka ktk taasisi za serikali lakini jitihada zangu zimefeli nilihitaj kufika mpaka ikulu kwenda muona mh Rais ila sikupewa ushirikiano zaid ya kukatishwa tamaa.
Nilijaribu kumpigia simu wazir Ashatu kijaji alinambia natakiwa nianzishe biashara ndo naweza saidiwa au niingie ktk kundi la watu 5 ili kupatiwa mtaji mambo yame kuwa ni mengi sana.
Nimekuja hapa katika jukwaa kuomba msaada kama kuna yeyote anaweza nisaidia akawekeza katika kampuni yangu au kama kuna shirika lolote linaweza kuguswa na jambo langu wakanisaidia kutimiza malengo yangu kwani nahitaji kuwa mfanyabiashara mkubwa na lengo ni kushirikiana na serikali ktk kuliletea taifa na jamii maendeleo.