Triple A
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 766
- 147
Mambo vp wana jf, jamani huwa najiuliza mara kibao lkn sipati jawabu, issue yenyewe iko hivi, hivi ukienda kununua gesi utajuaje kama imejaa ktk mtungi ulioununua? Mimi naona kama tunaibiwa kwani sijawahi kuona mtungi wa gesi una geji ya kuonyesha gesi iko kiasi gani, hili jambo huwa linanichanganya sana naombeni mniweke wazi kwa wanaofaham zaidi.