papason
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 5,119
- 5,683
Yaani nawaonea huruma sana nyie mnao mtetea magufulii kwa kweli usilolijua ni sawa na usiku wa gizaa, kwa wale wachache wanaomjua vizuri magufuliii ( tangu akiwa "mission town" pale mitaa ya mwanza adi alipo ukwaa uheshimiwaa) hawawezi kukubali huyu jamaa agombee hata udiwanii kwa jinsi alivyo dictator, fisadi, opportunistic, tena wanahurumia sana wana chato ambao bado wamelala usingizi wa pono wakati huyu jamaa anawaleta akina Odinga na mwana falme wa.... kuja kumiliki ardhi na mashamba makubwa ya Chato na kuwakabidhi title deed za miaka isiyopungua 100 wakati wana chato hawana ata hati za kimila,
Anakataa boti zlizokuwa zinakuja mwanza zisipitishwe kwenye barabara ya Dar-Mwz, baada ya wiki moja anaruhusu Gyratory Crusher la Barrick liende Tulawaka, almost through the same route aliyoikataa boti zisipitishe ( wakati hiyo karasha uzito na ukubwa wake ni 5 zaidi ya viboti).
Muulizeni mpiganaji general Ulimwengu anavyo jua machungu aka kajamaa, yaani kanajua kweli kweli kuuma na kupulizia nyie jaribu kukapa.
Anakataa boti zlizokuwa zinakuja mwanza zisipitishwe kwenye barabara ya Dar-Mwz, baada ya wiki moja anaruhusu Gyratory Crusher la Barrick liende Tulawaka, almost through the same route aliyoikataa boti zisipitishe ( wakati hiyo karasha uzito na ukubwa wake ni 5 zaidi ya viboti).
Muulizeni mpiganaji general Ulimwengu anavyo jua machungu aka kajamaa, yaani kanajua kweli kweli kuuma na kupulizia nyie jaribu kukapa.