Wewe hiyo avator yako inaendana na sura na shepu yako?Tafadhari wekeni AVATAR zinazoendana na sura na shepu zenu. Ili hata kama mtu anakutana na wewe asishtuke, iri picha arioijenga kichwani ziendana na muonekano wako wa nje. :confused2:
Nawapenda sana.
Umekutana na nani ukaona yupo tofauti na avatar?Tafadhari wekeni AVATAR zinazoendana na sura na shepu zenu. Ili hata kama mtu anakutana na wewe asishtuke, iri picha arioijenga kichwani ziendana na muonekano wako wa nje. :confused2:
Nawapenda sana.
..........anatafuta jiko.Unaagenda gani tena ndugu yangu ?..Ama ndio unataka kutafuta jiko humu humu JF
Tafadhari wekeni AVATAR zinazoendana na sura na shepu zenu. Ili hata kama mtu anakutana na wewe asishtuke, iri picha arioijenga kichwani ziendana na muonekano wako wa nje. :confused2:
Nawapenda sana.
Tafadhari wekeni AVATAR zinazoendana na sura na shepu zenu. Ili hata kama mtu anakutana na wewe asishtuke, iri picha arioijenga kichwani ziendana na muonekano wako wa nje. :confused2:
Nawapenda sana.
Tafadhari wekeni AVATAR zinazoendana na sura na shepu zenu. Ili hata kama mtu anakutana na wewe asishtuke, iri picha arioijenga kichwani ziendana na muonekano wako wa nje. :confused2:
Nawapenda sana.
Kwani aliekuambia watu tunajiunga humu ili tuje kukutana
ni nani???????????
Sio wote wako humu kwa ajili ya kutafuta wachumba.......
Kuwa na heshima kwa wanawake.........
Wengine humu ni umri wa mama yako au dada zako,
have some respect.....
Ala kumbe umeingia hapa kutafuta wanawake? Umejidanganya!!! Kwa nini unapata tabu na hizi anonym hapa usiende tu usiku kule Kinondoni, Garden avenue, Magomeni, Kigogo, Mwananyamala, Night Clubs and so on? Pale figure halisi utazipata za ndani na nje ya nchi!!!!!
Charity starts at home!!! Weka kwanza picha zako, tena tangu ukiwa mdogo ili tuone na mazingira uliokulia, ikweli ni kuwa tuko members wa status mbalimbali hapa!!! Dare basi!
hatuna nia wala madhumuni ya kukutana na wewe
Shetani shindwa katika jina ra Yesu