22nd
JF-Expert Member
- Aug 1, 2010
- 495
- 137
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu!
Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho
jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi na mke/mpenzi wako.
Ukioga sio kwamba ndio unakuwa sharobaro, jirekebisheni.
Subiri niwakumbushe
1-kuoga ni mara 2 kwa siku, asubuhi na jioni
2-mswaki mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni
3-soksi zinavaliwa si zaidi ya siku mbili
4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)
5-shati ni mara moja
6-vest mara moja
7-makwapa (ku shave)angalau yakumbuke mara moja kwa mwezi
maana utakuta mtu manywele ya kwapa yamekuwa ya njanoo(blonde) inakuaje?
8-huko kwa mzee pia msisahau kupunguza hivyo vinyweleo
Kufanya usafi wa nyumba tutawasaidia
Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.
Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho
jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi na mke/mpenzi wako.
Ukioga sio kwamba ndio unakuwa sharobaro, jirekebisheni.
Subiri niwakumbushe
1-kuoga ni mara 2 kwa siku, asubuhi na jioni
2-mswaki mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni
3-soksi zinavaliwa si zaidi ya siku mbili
4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)
5-shati ni mara moja
6-vest mara moja
7-makwapa (ku shave)angalau yakumbuke mara moja kwa mwezi
maana utakuta mtu manywele ya kwapa yamekuwa ya njanoo(blonde) inakuaje?
8-huko kwa mzee pia msisahau kupunguza hivyo vinyweleo
Kufanya usafi wa nyumba tutawasaidia
Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.