Graca
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 471
- 152
kuna anaconda tu
dah,nshaogopa kukutembelea.
kuna anaconda tu
Mume mwenzangu its kwapa lol!Jombaaa
Mimi Lizzy yangu anapenda sana nifuge za kwamba
Tena saa hizi nina dread kabisa
King'asti acha kakako nibembelezwe bana si ndio mapenzi yenyewe hahaha!
Sawa mdogo wangu thong na sidiria zake kuanzia leo nafua lol!kaka,hofu yangu ni kuwa siku akikumwaga tu mzigo unahamia kwetu!otherwise akikufulia vinyasa vyako na ww umfulie vyake ili mikono yako isisahau!wifi anakudekeza sana banaa,lol!
K
4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)
Lizzy Licious.............
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu!
Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.
Kamanda naona bado tupo na dunia haijaisha si kuna umuhimu wa kuwaburuza hawa jamaa mahakamani kwa kutuletea usumbufu na kutupunguzia mapato ya gesti yangu siku 3 mfululizo ?Mshahara wenyewe wa Kikwete halaf tubadili makufuli mara mbili?, hapa kijijini kwetu chini ni AC tu hakuna kuvaa kufuli. Maisha magumu jamani acheni mzaha
Dont mind him he has a crush on Lizzilicious hahaha!
wifi usije ukanilemazia kakangu!kwetu tumefundishwa kazi na kujitegemea.manake sasa yy atafanya kazi gani,mikono si itakatika!lol!
Lizzy Licious.............
Sasa hii ndio nini? nendeni PM bana mstuzingue.Nyaniizzo...
Nasubiria barua ya kuombwa radhi.....!Jombaaa
Mimi Lizzy yangu anapenda sana nifuge za kwamba
Tena saa hizi nina dread kabisa
Sasa hii ndio nini? nendeni PM bana mstuzingue.
Kamanda hapa kijijini hata delivery ya mirungi pia iliathirika sana, shenz sana hawa. halaf Lizzy kumbe anaogopa kifo ajabu unaambiwa jana PM hajibu.Kamanda naona bado tupo na dunia haijaisha si kuna umuhimu wa kuwaburuza hawa jamaa mahakamani kwa kutuletea usumbufu na kutupunguzia mapato ya gesti yangu siku 3 mfululizo ?
wewe chakachua tu bana! Leo nimeamka na mzuka wa ugomvi ajabuAcha unoko Kloro.....ntakuchakachua kule kwenye mashairi!!
wewe chakachua tu bana! Leo nimeamka na mzuka wa ugomvi ajabu
oh bado sina mpenzi nikimpata ntaanza kuwa naoga, mi huwa nalala na nguo nilizoshinda nazo job navua kesho yake navaa nyingne off to job tena.
bahati yako dunia haijaisha leo!wagomvi mbinguni hawaingii,kule ni nyumba za vioo!shukuru mungu!
Sasa hii ndio nini? nendeni PM bana mstuzingue.
Hahhaha...wifi acha nimdekeze nisije nikasaidiwa huko nje maana siku hizi huko kwenye nyumba ndogo mpaka mswaki wanapigishwa!!