ukweli unakuwa hivi, wanandoa huwa wanajisahau katika mambo madogomadogooo ambayo ndio yanajenga mapenzi. hilo ni fundisho. kama jamaa angekuwa na vinywele vichache huko chini huyo hawara angepata muda wa kumnyoa saa ngapi? wanawake ingieni humu msome mpate maujuzi. mjue kuwanyoa waume zenu ndevu, za kwapa, mavuzi, kung'arisha viatu, kupiga pasi nguo, kufua, kupika, n.k. wanawake wasipelekwe na upepo wa haki sawa. HAKUNA KITU KAMA HICHO! ukitaka haki sawa, hiyo nafasi uliyoiacha wazi ataichukua hawara aka nyumba ndogo.
Kwamba wanawake akili na maarifa yao yote wahamishie kwenye kuwaza jinsi ya kufanya wanaume zao wasitafute nyumba ndogo?
Mwanamke wa kweli ampige kibuti mara moja atakapogundua mwanaume wake ana nyumba ndogo.
Mwanaume akikukosea, anaomba msamaha kinafiki nawe unamsamehe right away na kumbusu, na mwishowe kumpa wild jig, anaishia kukutoboatoboa na kukuvujishia majasho tu, hata hujaridhika mtarimbo umelala doro...... umeshatumika.
Wasichana msiogope kuachwa, after all you are doing very fine zaidi ya hao wanaume. Hawana lolote zaidi ya kutumia mabavu tu, hawawezi kuthink independently kwenye mambo ya maendeleo.
Tumieni front lobe za brain zenu nyie watoto wa kike. 'Love is not about having someone to live with, love is about having someone you can not live without'- unknown.